Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sio lazima iwe ufisadi per se...inawezekana kweli kuna hela italiwa even millions of dollars ....ila sio ya kuongeza 1 trillion nzima....

Kuna Inflation pia...kumbuka mwaka 2018 sio sawa na 2021..vitu vimepanda bei...hela imeshuka thamani sio TzS tu hata USD

Covid inaweza kuwa imeleta importing cost kuongezeka kutokana na supply ya materials etc..

Je wataimprove nn kwenye hio reli..vituo vitakuaje etc...

Madaraja ni mengi au machache kuna tunnels?
Yote uliosema yakizingatiwa bado dollars billion 1.4 ni nyingi sana, sidhani kama kipande hiki kitakua na tunnels na zitakua kwa urefu gani, Singida na Tabora ni mikoa ambayo haina terrains kali kama Morogoro yaani hata Mwanza yenye milima mingi na eneo kubwa pia linapita katikati ya mji halijagharim pesa nyingi kiasi hicho ukilinganisha na kilometers za railway.
 
Maybe Nyerere ndio hakuwa anajua kuandika sababau hakuna kitabu aliandika by that time that was worth reading.
Kenyatta mnamuita Zezeta wenyewe halafu unataka kumuhusisha na mambo ya maana? 😂😂😂😂

Ujamaa to the world baby 🤣

Hii kitu naona imekupa break kidogo

Screenshot_20211228-133658.png
 
They have been living in denials, leo wamekubali kuwa kukopa ndio mwendo wao. Kama sio kukopa, ni donation na kama sio donation ni grant🤣🤣🤣

 
Escape from Sobibor 🤣🤣🤣

Njoo hapa bwana kashandee! (in Neria advocate voice) 🤣🤣🤣🤣

View attachment 2060624
Do you understand the meaning of referrals?😂😂😂 If look at the statement it clearly show that Nyerere was afterthought. Nobody knew him until recently when Americans started to dig deep about the understanding of the seven words. Hata Malawi walitajwa 😂😂😂
 
For those idiots trying to claim everything including Kwanzaa, here is something from Kwanzaa founder Maulana Karenga: -


View attachment 2060635
Hawa watu ni wajinga sana. They are riding on other people`s success. I wonder why that man did not mention either Tanzania ama Nyerere in his books, yet they are claiming that he got inspired from Nyerere.
 
mm sitaki upate shida 😂😂👇👇👇


Nipate shida aje na tulianza hii shugli mbele yenu. Hii meli ya MV Uhuru ishasafirisha over 60,000 tonnes za mafuta. Na munapayuka bila aibu eti Uhuru alicopy Magu. Tuambieni hii yenu imesafirisha tani ngapi so far. Tena yetu ni quality build. Wachana na hio yenu ya jua kali. 😂😂😂😂

IMG_20211228_151133.jpg


IMG_20211228_151747.png
 
Nipate shida aje na tulianza hii shugli mbele yenu tayari ishasafirisha over 60,000 tonnes za mafuta. Na munapayuka bila aibu eti Uhuru alicopy Magu. Tuambieni hii yenu imesafirisha tani ngapi so far. Tena yetu ni quality build. Wachana na hio yenu ya jua kali. 😂😂😂😂

View attachment 2060560

View attachment 2060641
Kwanza they don`t even have a jetty, so sijui hiyo Uhuru alicopy kwa kaburi la Magufuli after yeye kufa?
 
Kwanza they don`t even have a jetty, so sijui hiyo Uhuru alicopy kwa kaburi la Magufuli after yeye kufa?
Wanapenda sana kupayuka vile wako mbele kwa kila kitu lakini kwa ground ukweli inajulikana. Inferiority complex huwasumbua sana.
 
Back
Top Bottom