Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahhahaaaaa wa TZ wamepa hoja mpaka unatumia matusi pole.. Punguza hasira kula sukuma wiki sana nasikia inapunguza makasiriko yasio na sababu.
Wenye njaa ndio mnatamani sukuma wiki.
Upumbavu sio matusi jifunze kiswahili.
Wapumbavu ni wale waliokosa chakula wakapewa bia kupunguza njaa, alafu wakapigana kugombea bia ili wasife kwa njaa.
 
mama kasema atakopa haogopi maneno ya eti tunakopa sana.. nimependa hio .. ila mikopo iende kufanya kazi kweli.. sio kuingia mifukoni mwa wanasiasa kama huko kenya
Kwahiyo wewe mpumbavu unapenda pesa za ndani zichezewe na wahuni,kisha tutegemee mikopo kujenga nchi
 
Hahahhaaaa nimewagusa panapouma ee?
😂😂😂😂😂mbona uionee aibu taifa lako Tanzania ata kama ni fukara? unajitia eti Munyarwanda., usi ionee aibu taifa lako masikini, siku moja mtafika tu.., jivunie hiyo BRT angalau ikuondolee aibu zilizo jaa Tanzania 😂😂😂😂😂😂., ama wewe ni wa mashambani ata hiyo Dar unaiyonea tu kwa mitandao na kuhadithiwa?., 😂😂😂
 
View attachment 2060676
Wazee wa kunya kwenye plastic bags mje kujifunza maana ya usafi.



Hebu tuache bana sisi watu wa VIP Only.

IMG_3626.jpg


IMG_3625.jpg
 
Wenye njaa ndio mnatamani sukuma wiki.
Upumbavu sio matusi jifunze kiswahili.
Wapumbavu ni wale waliokosa chakula wakapewa bia kupunguza njaa, alafu wakapigana kugombea bia ili wasife kwa njaa.
So wapumbavu ni kama wale wanaokaa siku nzima JF kuongelea kuhusu matatu ni safer than DART alafu wanataka waonekane wana akili? Mtoto wangu ako miaka 4 ila kako na common sense kukuzidi.
😂😂😂😂😂mbona uionee aibu taifa lako Tanzania ata kama ni fukara? unajitia eti Munyarwanda., usi ionee aibu taifa lako masikini, siku moja mtafika tu.., jivunie hiyo BRT angalau ikuondolee aibu zilizo jaa Tanzania 😂😂😂😂😂😂., ama wewe ni wa mashambani ata hiyo Dar unaiyonea tu kwa mitandao na kuhadithiwa?., 😂😂😂
Natamani ningezaliwa Tanzania taifa ambalo lina historia kubwa taifa ambalo ni ndoto ya wengi wetu kuishi sehemu kama Tanzania na hata wa Kenya mkiwa included. Ubepari wenu uliokisiri unawafanya muishi kwa woga mda wote maana vitu vilivyo vingi na vya muhimu vinamilikiwa na wachache vitu kama Ardhi. Ukiongea na watu wa East Africa utagundua wa KE ndio wanataja neno "LANDLORD" mara kwa mata Kuliko mtu mwingine.. na huo ndio uhalisia wa maisha yenu.
 
Zamani kwa akili zangu za kitoto niliamini kujua kingereza ni mojawapo ya dalili kua una uwezo mkubwa wa akili. Ila nikiwa mdogo hivyo hivyo nilikuja kugundua kua hata England kuna machizi na wagonjwa wa akili wanaoongea kingereza vizuri kuzidi Lecturer wangu ila ni wagonjwa wa akili.

Tafadhali wakenya hebu leteni hoja nzito. Hivyo vingereza unavyoviongea haimaanishi ndio mnaongea points sana. Utumwa wa wazungu naona nyie uliwakolea zaidi bado mnawaabudu wazungu na mila zao.. si vibaya sana maana hio kingereza hata sisi wa Rwanda tunaelewa pia ila muongee point zakueleweka kama nimesikia mtu hapa analinganisha ile matatu ya KE na DART TZ hamko serious😂

Naona kama mmeishiwa vyakuongea labda tuongelee venye mademu wa KE wako na big forehead na vile wamekomaa vimiguu. Kuna mademu wa KE nilisoma nao Stellenbosch University lakini sikupata hata tabu kuwatambua nikakaita kamoja keusi flani hivi na meno imeachana achana nikakaa kwa swahili "hey wewe ni mrembo sana unatokea Kenya" kakacheka kakasema "umejuaje mimi ni m'KE" ilikua imebaki kidogo niseme ni hivyo vimuguu vyako na hio komwe ya mwendokasi😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣Mkunya utamjua Tu hakuna MTU mwenye muonekano wa kukomaa popote pale kama hawa jamaa,kama an uzuri wa Sura roho ngumu na mbaya nafanya NAO miradi kazaa so nawajua🤣🤣🤣🤣
 
Since our ostritches from the South want to pretend prostitution is a shocker to them, today I'll dedicate on showing you the prostitutes they chew down there. Hata wanafunzi huko ni makahaba.



Na hawa je? Mtu akicheka Makahaba wa Luthuli utadhani wa kwao wanaishi London. Alafu wanajiuza for Tshs 200. Wakenya wenzaku yani ten bob ushapata kvma pale Buguruni.🤣🤣🤣



 
Sio lazima iwe ufisadi per se...inawezekana kweli kuna hela italiwa even millions of dollars ....ila sio ya kuongeza 1 trillion nzima....

Kuna Inflation pia...kumbuka mwaka 2018 sio sawa na 2021..vitu vimepanda bei...hela imeshuka thamani sio TzS tu hata USD

Covid inaweza kuwa imeleta importing cost kuongezeka kutokana na supply ya materials etc..

Je wataimprove nn kwenye hio reli..vituo vitakuaje etc...

Madaraja ni mengi au machache kuna tunnels?
Financing model ya hii lot 3 ikoje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Since our ostritches from the South want to pretend prostitution is a shocker to them, today I'll dedicate on showing you the prostitutes they chew down there. Hata wanafunzi huko ni makahaba.



Na hawa je? Mtu akicheka Makahaba wa Luthuli utadhani wa kwao wanaishi London. Alafu wanajiuza for Tshs 200. Wakenya wenzaku yani ten bob ushapata kvma pale Buguruni.🤣🤣🤣




Tanzanians on this thread pretend like they live in a Utopian community. 😁😂😁😂
Tunajua shida ni their media is always gagged hence creating an illusion that they live a perfect life.
 
Kwahiyo wewe mpumbavu unapenda pesa za ndani zichezewe na wahuni,kisha tutegemee mikopo kujenga nchi
Awamu ya tano ndio iwamu iliyoshamiri sana katika sekata ya upigaji licha ya mapambio ya hela ya ndani..

Alafu akili yako finyu kweli, kwhyo wewe ukichukua mkopo sile savings zako unazitumia kula bata zote kisa umekopaeee...

Typical danganyikani
 
Back
Top Bottom