Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nipate shida aje na tulianza hii shugli mbele yenu. Hii meli ya MV Uhuru ishasafirisha over 60,000 tonnes za mafuta. Na munapayuka bila aibu eti Uhuru alicopy Magu. Tuambieni hii yenu imesafirisha tani ngapi so far. Tena yetu ni quality build. Wachana na hio yenu ya jua kali. 😂😂😂😂

View attachment 2060560

View attachment 2060641
uhehehehhehe umeumia kuskia vitu kama hvi vipo mwanza 3 yrs ago now 😂😂😂 nyinyi ndio kwanza munaanza
 
Watu wa Karia dudu muda wote kukalia dudu tu. Huo mlango wa frame sijui Dirisha hilo kama mlango wa nyuma wa Bus flani. Bora mlango wa Duka la Mangi.
Ikipitishwa kwenye dressing table huo mtaa utafanana na Paris 😂😂😂😂

Kumbe ni kwa wauza uroda wa jerojero wa kaliadudu 😂😂😂 angalia kwanza walivyo choka na serikali ya Uhuru 🤣🤣🤣🤣
 
hebu niambieni hii ni train ya MGR tanzania

E64B7B07-5D78-483A-B803-278BB3AC361D.jpeg










na hii ni kichwa cha SGR failed state😂😂😂
906A115B-31D1-4B30-9EBA-5BF3251A4986.jpeg







hvi tusema dunia hii ina haki ??🤣🤣🤣🤣
 
.

Omba omba wawe wa Tanzania, na hawa wa Karia dudu mchana kweupe pia Wazaramo. Hawa watu wanapenda kujipa maujiko .
🤣🤣🤣🤣 Kila siku wanafananisha Eastleigh na London halafu leo wanawakashfu wenye Eastleigh yao wanakati ndio waajiri wao 😂😂😂😂
Haya makaria dudu hayajielewi 😅😅😅
 
Unaona miradi nikama zime stagnate, the country is too poor to pull off any big project in a short time with or without loans., total revenue pekee collected in the whole country ni dhihirisho taifa ni fukara., I like this thread, wanajaribu kujikweza, kujitetea eti vile wako sawa.., ukiangalia Dar, maendeleo ni less than 10% or there about, ya the whole sq km,😂😂😂😂., ingia google earth n check out the whole Tz ujionee, kwanza Dar on average can't beat Mombasa, hapa ni entertainment zone😂😂😂😂😂😂, let's learn proper Kiswahili tu..,
Ajabu kweli, eti mkenya anabeza Tz miradi kuendesha na mkopo ilihali mradi wenu mkubwa kwasasa ni express way ambayo ni mali ya mchina for 39 good years, SGR n.k .. Dar itself iko na miradi mingi ya maendeleo kuliko kenya yote combined.. usichokijua ni kwamba DSM tunavyoongea sasahiv tuko na miradi mikubwa mingi mno .. kuna Flyovers 4 U/C, BRT phase 2 👇
dodoma_zone__1638984782739393.jpg
daraja la sarenda 👇
dodoma_zone__1638986306678116.jpg
upanuzi wa bandari, na miradi ya barabara kila kona .. eti miradi iko stagnant ilihali kila mwezi tunawka updates za miradi ya SGR phase 1 &2 kwa pamoja, ujenzi wa bwawa la umeme kila leo update zinawekwa humu, miradi ya ujenzi wa mji wa serikali juzi kati tu tumeweka taarifa za ujenzi wake .. au mzee kwasababu ya uchizi na Roho mbaya yako ndio vinakufanya ujifanye vyote hivi huvioni.? Basi kutakua na maana gani ya kujibizana na tahira kama wewe.? Hii thread sio mahala pako babu nenda kabishane na walevi wenzako vijiweni uko.. hatuwezi kuwa tunarudia rudia kusema vitu vilevile kila leo .. nenda kaoshe matako wakupake mafuta
 
Polee Sana swala la kuja Nairobi ni la kulazimshwa jiran Bora hata na Kigali hamna MTU anapapenda wote kwenye team Ila nashukuru project za huko zimepungua Sana! Tunawaachia nyie
Eti Nairobi ins niweka mjinihuaga unajiskia unavoo ongea?
Nairobi ndio inakuweka mjini we bwege, acha mbwembwe nyingi hapa
Bila ya nairobi huna kazi mdanganyika
 
Nenda Eastleigh huwa wanatoa vibarua vya kuwafulia nguo
Wao wanatoa vibarua watu wameandika wafanyikazi wa ndani
Narudia tena, hakuna msomali tajiri likija swala la matajiri kenya labda waungeunge sana

Wakenya sio vilaza na wazembe km watz bana mnaachia mtawaliwe na machotara
 
Wao wanatoa vibarua watu wameandika wafanyikazi wa ndani
Narudia tena, hakuna msomali tajiri likija swala la matajiri kenya labda waungeunge sana

Wakenya sio vilaza na wazembe km watz bana mnaachia mtawaliwe na machotara
Eastleigh ni kwa nani? Wa Somali na wa Sudan ndio wenye Kenya we mama 😂😂😂
 
Watu wanaacha kuku quote kwasababu unaongea upuuzi mzee.. sasa Kati ya kenya na Tz ni nchi ipi iko na laana .? Nyinyi sindio mnaongoza kwa madeni ukanda huu wote.? Spika anaongea maneno hayo ili ku encourage kujitegemea na sio kuwa taifa tegemezi (kutegemea mikopo na misaada) na hiyo spirit iko ndani ya watanzania tuliowengi pamoja na Magufuli, that's why tuko na madeni kidogo kuliko nchi yoyote ukanda huu.. ajabu eti wewe mpuuzi wa Kenya unapiga kelele eti Tz Ina laana kisa kupinga kukopa , sidhani kama Unaakili timamu we jamaa
Deni la trilioni 70 sabini tayari nchi ipo hoi mpka mnafikia pa kupigwa mnada
Tz mafukara sana
 
Back
Top Bottom