NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Nenda msomali akusaidie chakula kapuku wewe![]()







. Omba omba wawe wa Tanzania, na hawa wa Karia dudu mchana kweupe pia Wazaramo




. Hawa watu wanapenda kujipa maujiko
.Nenda msomali akusaidie chakula kapuku wewe![]()







. 



. Hawa watu wanapenda kujipa maujiko
.uhehehehhehe umeumia kuskia vitu kama hvi vipo mwanza 3 yrs ago now 😂😂😂 nyinyi ndio kwanza munaanzaNipate shida aje na tulianza hii shugli mbele yenu. Hii meli ya MV Uhuru ishasafirisha over 60,000 tonnes za mafuta. Na munapayuka bila aibu eti Uhuru alicopy Magu. Tuambieni hii yenu imesafirisha tani ngapi so far. Tena yetu ni quality build. Wachana na hio yenu ya jua kali. 😂😂😂😂
View attachment 2060560
View attachment 2060641
who own those appartments utaskia politicians au investors kama nasema urongo sema 🤣🤣🤣🤣
Ikipitishwa kwenye dressing table huo mtaa utafanana na Paris 😂😂😂😂Watu wa Karia dudu muda wote kukalia dudu tu. Huo mlango wa frame sijui Dirisha hilo kama mlango wa nyuma wa Bus flani. Bora mlango wa Duka la Mangi.
🤣🤣🤣🤣 Kila siku wanafananisha Eastleigh na London halafu leo wanawakashfu wenye Eastleigh yao wanakati ndio waajiri wao 😂😂😂😂.
Omba omba wawe wa Tanzania, na hawa wa Karia dudu mchana kweupe pia Wazaramo. Hawa watu wanapenda kujipa maujiko
.
Ajabu kweli, eti mkenya anabeza Tz miradi kuendesha na mkopo ilihali mradi wenu mkubwa kwasasa ni express way ambayo ni mali ya mchina for 39 good years, SGR n.k .. Dar itself iko na miradi mingi ya maendeleo kuliko kenya yote combined.. usichokijua ni kwamba DSM tunavyoongea sasahiv tuko na miradi mikubwa mingi mno .. kuna Flyovers 4 U/C, BRT phase 2 👇Unaona miradi nikama zime stagnate, the country is too poor to pull off any big project in a short time with or without loans., total revenue pekee collected in the whole country ni dhihirisho taifa ni fukara., I like this thread, wanajaribu kujikweza, kujitetea eti vile wako sawa.., ukiangalia Dar, maendeleo ni less than 10% or there about, ya the whole sq km,😂😂😂😂., ingia google earth n check out the whole Tz ujionee, kwanza Dar on average can't beat Mombasa, hapa ni entertainment zone😂😂😂😂😂😂, let's learn proper Kiswahili tu..,
Nairobi ndio inakuweka mjini we bwege, acha mbwembwe nyingi hapaPolee Sana swala la kuja Nairobi ni la kulazimshwa jiran Bora hata na Kigalihamna MTU anapapenda wote kwenye team Ila nashukuru project za huko zimepungua Sana! Tunawaachia nyie
Eti Nairobi ins niweka mjinihuaga unajiskia unavoo ongea?



Wao wanatoa vibarua watu wameandika wafanyikazi wa ndaniNenda Eastleigh huwa wanatoa vibarua vya kuwafulia nguo![]()




Eastleigh ni kwa nani? Wa Somali na wa Sudan ndio wenye Kenya we mama 😂😂😂Wao wanatoa vibarua watu wameandika wafanyikazi wa ndani
Narudia tena, hakuna msomali tajiri likija swala la matajiri kenya labda waungeunge sana
Wakenya sio vilaza na wazembe km watz bana mnaachia mtawaliwe na machotara
Deni la trilioni 70 sabini tayari nchi ipo hoi mpka mnafikia pa kupigwa mnadaWatu wanaacha kuku quote kwasababu unaongea upuuzi mzee.. sasa Kati ya kenya na Tz ni nchi ipi iko na laana .? Nyinyi sindio mnaongoza kwa madeni ukanda huu wote.? Spika anaongea maneno hayo ili ku encourage kujitegemea na sio kuwa taifa tegemezi (kutegemea mikopo na misaada) na hiyo spirit iko ndani ya watanzania tuliowengi pamoja na Magufuli, that's why tuko na madeni kidogo kuliko nchi yoyote ukanda huu.. ajabu eti wewe mpuuzi wa Kenya unapiga kelele eti Tz Ina laana kisa kupinga kukopa, sidhani kama Unaakili timamu we jamaa


Kumbe unajua km ubungo ni kilimaKidude gani hiki?? Au kidimbwi!?
Emu rudia tena hicho kilio chakoEastleigh ni kwa nani? Wa Somali na wa Sudan ndio wenye Kenya we mama![]()


Wasomali na wa Sudan ndio wanaosukuma ndinga kali wakati ninyi mkisukuma mikokoteni na kubwia sukuma 😂😂😂😂Emu rudia tena hicho kilio chako
Wa somali na wa sudan wa wapi vile..
Watanzaniaee