Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Awamu ya tano ndio iwamu iliyoshamiri sana katika sekata ya upigaji licha ya mapambio ya hela ya ndani..

Alafu akili yako finyu kweli, kwhyo wewe ukichukua mkopo sile savings zako unazitumia kula bata zote kisa umekopaeee...

Typical danganyikani
Acha kutusemea mzee hujui kitu you better shut your *** off
 
Deni la trilioni 70 sabini tayari nchi ipo hoi mpka mnafikia pa kupigwa mnada[emoji1787][emoji1787]
Tz mafukara sana
Deni la trillion sabini zipi dadaangu.? Mpaka sasa mradi wetu utakaokula pesa ndefu ni SGR na ni 14 trillion pekee ndio zitatumika, na kati ya hiz kipande cha kwanza kilishalipiwa na serikali, hizo trillion 70 umetoa wapi.? .. yet deni letu la taifa ni himilivu, ndio nchi tunaongoza kwa kudaiwa pesa kidogo kuliko nchi yoyote ukanda huu wa EA..
 
Unajua we mbishi Sana! Sio kila kitu Una kijua! Unajua sababu ghan brt ili burst into flames? Na mara ngap ilitokea?
Accidents zimefanyika mara ngap? Wangap waliumia? Brt Iko na emergency windows doors ambazo ni kubwa! Matatu Iko na emergency doors?
Unakumbuka issue ya grenade Kwa matatu ya Nairobi?
Huu ubishani wa BRT na matatu unatia kichefuchefu mkuu.
 
Deni la trillion sabini zipi dadaangu.? Mpaka sasa mradi wetu utakaokula pesa ndefu ni SGR na ni 14 trillion pekee ndio zitatumika, na kati ya hiz kipande cha kwanza kilishalipiwa na serikali, hizo trillion 70 umetoa wapi.? .. yet deni letu la taifa ni himilivu, ndio nchi tunaongoza kwa kudaiwa pesa kidogo kuliko nchi yoyote ukanda huu wa EA..
Kamuulize ndugai km hyo dat kaitoa wapi
 
I`m sorry to inform you that Tanzania has no influence on this[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kalilie twitter [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Apart from being stuck in traffic, matatus are better than your failed BRT. It`s good you have accepted that your BRT has failed miserably.
Hii battle ya BRT vs matatus ni kichefuchefu, inatia kinyaa [emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961][emoji2961]
 
Back
Top Bottom