Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Since our ostritches from the South want to pretend prostitution is a shocker to them, today I'll dedicate on showing you the prostitutes they chew down there. Hata wanafunzi huko ni makahaba.



Na hawa je? Mtu akicheka Makahaba wa Luthuli utadhani wa kwao wanaishi London. Alafu wanajiuza for Tshs 200. Wakenya wenzaku yani ten bob ushapata kvma pale Buguruni.



10bob mazeehyo ndio ile purchasing power wanayotupigia kelele hapa..
Hata ni 8bob ukifanya conversion
 
Ni kweli imeshamiri Ila investors Wana enjoy what about the commuters? Is it safe and reliable to them?
Yani chuki mbaya sna, umepigwa hku eti sasa unatafuta pa kutokea..
Nairobi ndio inakueka mjini mzee, we ukifukuzwa nairobi maisha yatakupiga chenga acha chuki zako hapa
 
Mkiambiwa yukweli mnasema tunaumizwa. Kwani nani nani hakuona mkiashangilia LED lights mounted on your vehicles?
Jamaa wanashangilia mpka LED lights mazee, yani mpka twitter jamaa wamepagawa unyama...
Kweli utanzania ni sawa na ulemavu wa akili
 
Khaaa we Jamaa sometimes Una nishangaza!
Is matatu safe? Is it build with passengers safety in mind? Is it reliable? and why is Nairobi investing in brt as the future mode of transportation?
Kwhyo unataka kusema matatu sio safe sio
Yani akili zingine bana, haya hyo brt ambayo unasema imekua built with passengers safety inamaana ikipata ajali watu hawafiee
 
Uongo . Wewe na ichoboy01 wacheni uongo. Kenya sasa hivi inaproduce 3,000 MW. Uganda inaproduce 1,500 MW. Total Uganda na Kenya tunaproduce 4,500 MW. Tanzania baada ya kuzindua JNHPP itakuwa inaproduce 3,700 MW.
Mzee Tonny hapa ulitudanganya, kwanza nyinyi hamzalishi 3,000 MW, kiasi mnazalisha ni less than 2300 na only 70% ndio ni gvmnt owned na mko na ndoto ifikapo 2025 muongeze 1700 MW . Tukijumlisha hapo ni ukifika 2025 mtakua na 4k MW .. while in Tz currently tunazalisha 1909 MW 👇
Screenshot_20211228-170538_1.jpg
hapa bado hatujaingiza zile 300 MW zetu za Rusumo hidro power, and soon tunazindua 2115 MW .. kuna kinyerezi 3&4 .. kwahyo sisi tunazungumzia 5k-6k MW.. kumbuka hizi MW zote ni gvmnt owned mzee.. kwahyo kuhusu masuala ya umeme nyinyi ni wadogo zetu.. league yenu Uganda
 
Mzee Tonny hapa ulitudanganya, kwanza nyinyi hamzalishi 3,000 MW, kiasi mnazalisha ni less than 2300 na only 70% ndio ni gvmnt owned na mko na ndoto ifikapo 2025 muongeze 1700 MW . Tukijumlisha hapo ni ukifika 2025 mtakua na 4k MW .. while in Tz currently tunazalisha 1909 MW View attachment 2060886hapa bado hatujaingiza zile 300 MW zetu za Rusumo hidro power, and soon tunazindua 2115 MW .. kuna kinyerezi 3&4 .. kwahyo sisi tunazungumzia 5k-6k MW.. kumbuka hizi MW zote ni gvmnt owned mzee.. kwahyo kuhusu masuala ya umeme nyinyi ni wadogo zetu.. league yenu Uganda
Government owned hata hasara pia ni za serekali
 
Mau mau fighters, achana na nyerere aliyefanya kupewa nchi kiulaini
Nashuku sana watz viongozi wenu waliachia sehemu zao za siri ndipo wakapewa nchi...

Eti mtu akupe tu nchi kiulaini hvo, manake km ni maji maji waliingia mkenge kw mganga feki...yani walikufa km panzi
 
Kwhyo unataka kusema matatu sio safe sio
Yani akili zingine bana, haya hyo brt ambayo unasema imekua built with passengers safety inamaana ikipata ajali watu hawafiee
Acheni kuwa wapumbavu nyinyi wakenya kutaka kubishana na ukweli .. yani hivi mnakaza matako eti mlinganishe BRT na matatu zenu 😂😂😂 mmerogwa nyie .. heb oneni aibu basi 👇
3048765_IMG_3548.jpg
3048762_IMG_3545.jpg
3048764_IMG_3547.jpg
BRT ni salama zaidi kwasababu zina njia zake, hata upandaji wake ni tofauti na gari zingine .. shida tunabishana na mbwa ambazo gari zenyew zinaishia kuziona kwenye picha na video tu .. heb oneni vile tunapanda BRT 👇
BRT-Bus-Station.jpg
DART-Pictures-e1470342768874.jpg
yani hii ☝️ world class public buses .. mje mlinganishe na hizi uchafu zenu 👇
0b8e0659f1d0051c29fe83403400b7c5.png
91f16fbba7698bdcc481dd724ede4fa5.jpg
maxresdefault(58).jpg
mmechanganyikiwa nini.? 😂😂😂
 
Yani chuki mbaya sna, umepigwa hku eti sasa unatafuta pa kutokea..
Nairobi ndio inakueka mjini mzee, we ukifukuzwa nairobi maisha yatakupiga chenga acha chuki zako hapa
Polee Sana swala la kuja Nairobi ni la kulazimshwa jiran Bora hata na Kigali 🙂hamna MTU anapapenda wote kwenye team Ila nashukuru project za huko zimepungua Sana! Tunawaachia nyie 🙂
Eti Nairobi ins niweka mjini🤣🤣🤣🤣🤣huaga unajiskia unavoo ongea?
 
Definition ya nchi fukara hii hapa., Speaker kama baba Levo anaijua nchi vizuri, ni fukara, haliwezi kulipa madeni anaogopa wasipigwe mnada.., Tanzania ni kama taifa lililo laaniwa hivi!, nchi hafifu na goigoi, raiya wake ni Domo domo tu pale vijiweni😂😂😂😂😂.,
Watu wanaacha kuku quote kwasababu unaongea upuuzi mzee.. sasa Kati ya kenya na Tz ni nchi ipi iko na laana .? Nyinyi sindio mnaongoza kwa madeni ukanda huu wote.? Spika anaongea maneno hayo ili ku encourage kujitegemea na sio kuwa taifa tegemezi (kutegemea mikopo na misaada) na hiyo spirit iko ndani ya watanzania tuliowengi pamoja na Magufuli, that's why tuko na madeni kidogo kuliko nchi yoyote ukanda huu.. ajabu eti wewe mpuuzi wa Kenya unapiga kelele eti Tz Ina laana kisa kupinga kukopa 😂😂😂😂, sidhani kama Unaakili timamu we jamaa
 
Back
Top Bottom