Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Baba acha kujichanganya, kiswahili ni lugha ya Tz na ndio mana kila mtoto anaezaliwa Tanzania hahitaji hata darasa moja ili kujua kiswahili, anajua tu moja kwa moja tena kiswahili kilichonyooka (shule tunaenda kujifunza kusoma na kuandika na ujuzi wa lugha kwa upana wake), yani kiswahili inakua ni first language yetu since raia wote kitaa are speaking swahili, hizo athari za mother tongue mostly ni kwa baadhi ya watu na kwenye baadhi ya makabila (tribes). Na hiyo 59% yako umeropoka ni uongo, . Unaweza kukutana na mtanzania hajasoma hata darasa moja lakini wewe mkenya ulienda Darasani kusoma madarasa kibao kwaajili ya kiswahili na itakubidi uwe na kamusi pembeni ili kuelewa every single word he/she utteringSo Sisi Kenya huwa tunaongea kizungu to communicate with other tribes? Nkt! You sick.. what I ment Ni it was not done the official trading language Hadi Shule wanafunzi kufunzwa nayo and you Tanzanians think you speak good Swahili wakati 59% imeathiriwa Na lugha zenyu za mama Most Tanzanians can't say Li they say Ri nkt
