Ila we jamaa ni kilaza sana kwahyo hii ndio fact yako.? Yani umeenda tu google uka search alafu eti ndio fact 😂😂😂 we ulishawahi kuhudhiria hata darasa moja...? Zipo research kadha wa kadhaa kuhusu kuhusu kiswahili na conclusion ni kwamba kiswahili ni kiunguja .. wasiseme waarabu kumiliki kiswahili useme wewe wa mombasa.? 😂😂😂 Ambae kiswahili kilikufikia baada ya sisi kufanya biashara na merchants wa uko.? Sikiliza mzee kitaaluma nilikaa darasani kusoma kiswahili mpaka advance, yani kuanzia chekechea mpaka form six, mlevi kama wewe nakudharau tu