Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mombasa,
FHBf8VcWQAEJiY0.jpeg
 
Hatimae kipoison imekubali kiroho safi kwamba haiwezi chochote mbele ya Arusha 😂😂😂
 
Kwamba iwe lugha ya Kenya alafu msii adopt, hivi una akili kweli wewe, yani iwe lugha yenu alafu msiijue, Zimbabwe wanaongea kingereza lkn wana lugha yao ya asili, Zambia, Nigeria wote hao wanaongea kingereza lkn wana lugha zao za asili na wanazijua vzr, iweje nyie punda kiswahili kiwe lugha yenu alafu msikijue.
So Sisi Kenya huwa tunaongea kizungu to communicate with other tribes? Nkt! You sick.. what I ment Ni it was not done the official trading language Hadi Shule wanafunzi kufunzwa nayo and you Tanzanians think you speak good Swahili wakati 59% imeathiriwa Na lugha zenyu za mama Most Tanzanians can't say Li they say Ri nkt
 
Yamepoteana

Nawakaribisha Dodoma sababu naona wanaleta dharau

Kwa hiki kipigo ulichotoa baba shikamoo, wakirudi watarudi na adabu…..yaani ufananishe mji wenye daladala za baiskeli na jiji ambalo lilimtoa ‘ushamba’ hadi Rais Clinton? Ngoja miradi yetu iishe baada ya miaka 3-5 watakuwa wanashindanisha kapoison na Shinyanga….. hongera sana Mkuu, umetuheshimisha vilivyo
 
Kwa hiki kipigo ulichotoa baba shikamoo, wakirudi watarudi na adabu…..yaani ufananishe mji wenye daladala za baiskeli na jiji ambalo lilimtoa ‘ushamba’ hadi Rais Clinton? Ngoja miradi yetu iishe baada ya miaka 3-5 watakuwa wanashindanisha kapoison na Shinyanga….. hongera sana Mkuu, umetuheshimisha vilivyo
Kwa picha hizi 🤣🤣👇
3039584_3039361_image_downloader_1639920536520.jpg
 
Back
Top Bottom