Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha, wacheni kujidanganya, wakenya kazi yenu ni Domo kubwa, Kiswahili kilizaliwa Tanganyika, kikalelewa na kukulia Zanzibar, kikaenda Kenya kikaanza kuugua. Wacheni kupoteza muda Kiswahili ni lugha ya Tanzania. Ukijaribu kuuliza nani aliyetoa hizo taarifa za Mijikenda na Taita, lazima atakua ni mkenya, kwanini asitaje kabila hata Moja la Somalia, Tanzania au Mozambique?
Nikama ushatumia mnazi
 
Kenya maendeleo yapo tu Nairobi king of slums na kdg Mombasa old village kwingine kote ni ushuzi tu, unakuta sehemu ni pori lkn ukabila wa wanasiasa unasababisha pawekwe flyover hata kama ni cheap. Tz huwezi kuta upumbavu huo.
Hapa si umejicontradict ama?
 
Kenya maendeleo yapo tu Nairobi king of slums na kdg Mombasa old village kwingine kote ni ushuzi tu, unakuta sehemu ni pori lkn ukabila wa wanasiasa unasababisha pawekwe flyover hata kama ni cheap. Tz huwezi kuta upumbavu huo.
Watch video za devolution in Kenya online then you will be shocked what transformation is happening Mashinani
 
Me naona kama tuendelee kuwachapa bakora na ARUSHA bado .. karamu coffee estate Chuga 👇
IMG_5626.jpg
DOM-overvie-garden-by-night-with-clouds3.png
55c48d23_z.jpg
Familie-bij-vuurplaats.jpg
Arusha-Villa-aanzicht_.jpg
lorien villas 👇
SAM_2813.jpg
SAM_2802-740x494.jpg
SAM_2788.jpg
Screenshot_20211220-012638_1.jpg
Screenshot_20211220-012630_1.jpg
Screenshot_20211220-012715_1.jpg
 
Back
Top Bottom