Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

[emoji23][emoji23][emoji23], hawa watu wanajifanyanga special sana na vile hao mahomo wamejazana kwao mpaka their top celebs
Mungu ndiye aliyeifanya Tanzania na watu wake kuwa Special.
1)33% ya soft water bodies duniani ipo Tanzania(Nyasa, Tanganyika and Victoria lakes)
2)Ardhi yetu imejaa kila aina ya madini
3)52% ya ardhi yetu, sawa na ukubwa wa nchi ya Kenya, ni mbuga za wanyama
4)Zaidi ya hectars 14M zinafaa kwa kilimo.
5)Gas asili ikiwemo gas adimu ya Helium ipo Tanzania
6)Amani na upendo hatubaguani
7)chakula kwa wingi
 
Mungu ndiye aliyeifanya Tanzania na watu wake kuwa Special.
1)33% ya soft water bodies duniani ipo Tanzania(Nyasa, Tanganyika and Victoria lakes)
2)Ardhi yetu imejaa kila aina ya madini
3)52% ya ardhi yetu, sawa na ukubwa wa nchi ya Kenya, ni mbuga za wanyama
4)Zaidi ya hectars 14M zinafaa kwa kilimo.
5)Gas asili ikiwemo gas adimu ya Helium ipo Tanzania
6)Amani na upendo hatubaguani
7)chakula kwa wingi
Na bado maskini wakutupa🤣🤣
 
manzese hii hapa baada ya kuzoom ww na mzungu nani mwenye akili🤣🤣
0E5B1B3F-B37F-48F6-BACF-76515FB69276.png
 
Tz ndio hakuna gays kwani? Ebu uliza ichogal[emoji23][emoji23] hizo umbea zake siziamini
Wapo lakini kwenye jamii asilimia kubwa hawakubaliki tena sanasana kwenye mikoani (bara) ila huko pwani naona kama wameanza kuchukulia poa lakini bado jamii ipo mstali wa mbele kuzui huo usodoma

Hii tofauti na kenya ambayo naona kama mnausifia na Kutetea ndio maana machoko wa tz wanaipenda kenya ila huku kwetu machoko hayapendwi na ukijulikana wewe ni choko unaeza fugwa polisi na hii sera haipo tz tu pekee hata russia,china,zimbabwe wanaitumia kulinda manhood ya vijana wao japo kuwa teknolojia ipo kasi sana
 
Hio ya Guangzhou hata nilikua nimesahau, unajua safari ya Mara moja kwa wiki ni rahisi sana kusahaulika. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ook, nimekuelewa, hilo tatizo la kusahau ndio Ugonjwa wenu mkubwa huko Kenya, Jommo Kenyatta aliwaibia lakini bado mkamchagua mtoto wake azidi kuwaibia[emoji23][emoji23]
 
Manzese hii hapa kwa 3D wachana na hio yako 2D.
😂😂😂 Dar ni kijiji kubwa na CBD ndogo imebanwa kando ya bahari.

View attachment 2041408
Kwani bila kuichafua hii picha ukiipost kama ilivyo utakufa.? 😂😂😂, Hehehe umeiona Ubungo hiyo inavyoumiza.? Najua hii picha umeichafua Ili Ubungo isionekane.. kindly post picha ikionyesha uhalisia before nikuumbue
 
Back
Top Bottom