Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Upanga ni kubwa sana hata mara tatu kushinda hiyo uperhil.. Kwanini nasie tusipige picha mpya nyingi ili kukomesha hizi kelele zao .? Mana hiyo mitaa sasahiv kuna gorofa nyingi mpya zinazojengwa na zilizokamilka ..
Nakwambia hivi mkuu sisi Watz kwenye suala la picha za kuitangaza nchi bado sn, media na bloggers wengi bado hawajaamka, tumeiachia serikali na wazalendo wachache ila amini kwamba mkuu huu uzi na Jamii Forums kwa ujumla umeamsha watu wengi na ss tegemea mambo mengi mapya nchi hii.

Kwa mfano tu kariakoo ya ss ina ghorofa nyingi mno zinasimamishwa ambazo ni office and residential towers ila picha ndio hivyo tena, tunaweka humu picha za zamani sn.

Maeneo mengi yana muonekano mpya lkn picha ndiyo hakuna, hizo ghorofa za over 20 zipo nyingi zimesimamishwa lkn mazoea ya picha nchi hii bado sn, hawa mbwa humu wamemaliza picha zote mpk mpya wkt cc hata 1/4 ya Dar hatujaimaliza.
 
The whole thing

Slums are inevitable

View attachment 2041209
For daresalaam you don't have to go high up
tapatalk_1567199234954.jpg
tapatalk_1567199229645.jpg
 
Hii picha mwenyekiti ichoboy uitunze sana hii inajibu kila swali huko mbele.
Tushai save mkuu, huwa wanapiga vipicha vya upande upande kujifanya wapo vzr, eti wanataka kushindana na Dar interms of development wkt ka Nairobi kenyewe ni ka tiny hata mkononi hakajai
 
Hiyo ni sehemu ndogo sana kwa Dar hata iyo Kariakoo yenyewe haonekani yote, hapo kuna mji wa karibu kabisa Upanga na hakuonekani pia, hapo umeonyesha eneo dogo mno, hakuna picha mona ambayo inaweza onyesha Dar yote, ila kwa Nairobi kwasababu ni kamji kadogo inawezekana View attachment 2040894high ways, stadiums, airports, railway station, Flyovers, CBDs, Rich neighborhoods, slums na kila kitu in one photo unabisha.?
Mbn uliwapiga na nondo kichwani
 
Hakuna cha maumivu hapo. Picha za juu za kijitonyama zimesambazwa huku kwa Miaka tatu sasa so we all know how it looks like. Maghorofa kando ya barabara
Wewe huijui Dar kaa kmy, hebu niletee Kijitonyama nicheke
 
Back
Top Bottom