Tusaidie kulipaMkulima bado anahunt ndege yenyu south africa, hamuwezi kanyaga
Dar is a village for sure
China umesahau au makusudi?Hawawezi. Air Tanzania ikienda mbali sana hii dunia ni India tu. 😂😂😂 Kama safari ya Nairobi pekee walifurahia nikama wanaenda London. 😂😂😂
Poor designs kwani Hanna graphic designers Tanzania?
Uhuru park inajengwa to an ultra modern park... Parks and green spaces I know is a non existing vocabulary in Dar-is-slumKalilie uhuru park na venye mchina ameharibu.![]()
Ndinda eeh wacha ukorofi





kwaiyo hiyo ndio ile might nirobarry etu






Sasa kwenye graphics mtajilinganisha na Tanzania?Poor designs kwani Hanna graphic designers Tanzania?
Unaumwa sana kuona hii picha. Wacha nipost tena, uone vile Dar is disorganized. 😂😂😂😂Kwani bila kuichafua hii picha ukiipost kama ilivyo utakufa.? 😂😂😂, Hehehe umeiona Ubungo hiyo inavyoumiza.? Najua hii picha umeichafua Ili Ubungo isionekane.. kindly post picha ikionyesha uhalisia before nikuumbue
na watu wametulia tu🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hizi zimejaa huku kanairo. Kwanza G63 ziko mob hadi brand new za showroom.
Mbona showroom ya Bentley na Porsche ziko Nairobi badala Dar? 🤔Wakiambiwa Tanzania ina dollars millionaires mara 10 ya total Eastern African countries wanalia
Mashujaa day ndiyo nn mkuu, huwa nawaona ona wakisema mashujaa day ndiyo nn hebu nielimishe kiongozi.Oya Coco leo ndio mashujaa day.?
Wacha kuongelelea wanaume wengine wewe je how are you fairing?Wakiambiwa Tanzania ina dollars millionaires mara 10 ya total Eastern African countries wanalia
Hapo no. 2 co tourists but huwa wanakuja kutafuta kazi japo ya kufundisha chekechea.
Mbona nilie? 1997 najua most places in Dah zilikua shambaKalilie twitter![]()
Yeah ukiacha unplanned settlement baadhi ya maeneo hakuna kitu mtajilinganisha na Tz, unaweza kuona hizo nyumba ni very decent houses hakuna slums hapo, tuje huku sasa, tukipost mnachukia wkt ndiyo kwenuUnaumwa sana kuona hii picha. Wacha nipost tena, uone vile Dar is disorganized.
View attachment 2041481












Majengo yote ndani, ka Nairobi kadoogoooo kanatoshana na ilala pekeeMbona nilie? 1997 najua most places in Dah zilikua shamba








