Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajichosha ubongo wako bure kwa kuhangaika na mambo yaliyo nje ya uwezo wa akili yako..

Wewe tulia ugange njaa afu usubiri kuona maendeleo on the grounds.

Hatukurupuki kama Serikali iliyopita,tunasaka concessional loans na grants.

Soma hapa jinsi ambavyo tunalenga kutoa mikopo ya riba ndogo kwa wananchi afu ujishangae kwa kukurupuka👇👇

View attachment 2040751

View attachment 2040752
Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba, ila mkopo watalipa watanganyika 🚮🚮🚮🚮
 
Simba hurts many nationals and internationals

Screenshot_20211211-193318.png
Screenshot_20211211-193358.png
 
Hivi sisi wabongo tunashida gani View attachment 2040595hili eneo sio Posta wala Kariakoo lakini nashangaa sioni likizungumziwa humu ndani na ni eneo lenye density kubwa sana ghorofa kibao .. kwani huu mtaa unaitwaje.? The best 007 ichoboy01
Upanga moja hiyo mkuu, ishawekwa humu sema cc huwa haturudii rudii picha ndani ya mda mchache kama hawa kima, utakuwa sehemu inarudiwa hata mara kumi kwa siku, wanabadilisha angle tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajichosha ubongo wako bure kwa kuhangaika na mambo yaliyo nje ya uwezo wa akili yako..

Wewe tulia ugange njaa afu usubiri kuona maendeleo on the grounds.

Hatukurupuki kama Serikali iliyopita,tunasaka concessional loans na grants.

Soma hapa jinsi ambavyo tunalenga kutoa mikopo ya riba ndogo kwa wananchi afu ujishangae kwa kukurupuka

View attachment 2040751

View attachment 2040752

safi sana.. naona pemba nao wanapata airport..
kwa jicho la kimichezo.. nilitaka hii mikoa iwe na international airport pamoja na viwanja vya mpira vya kisasa.. Tanzania Bara vi4 (Dar, Dodoma, Arusha-KIA, na Mbeya) na visiwan vi2 (Pemba na Unguja). Hio mikoa pia kuna hotel za kutosha..
Tukiwa na viwanja vikubwa 6 kama vya mkapa Bara 4 (over 50k capacity) na Visiwan 2 (at least 30k capacity).. Tanzania tunaweza hata kubid kuhost WC au AFCON au mashindano yoyote mengine ya mpira
shida kubwa katika mahesabu yangu ilikuwa ni pemba kukosa airport, ila naona wanajenga airport.. nafsi imesuuzika.. bado viwanja sasa
 
Unajichosha ubongo wako bure kwa kuhangaika na mambo yaliyo nje ya uwezo wa akili yako..

Wewe tulia ugange njaa afu usubiri kuona maendeleo on the grounds.

Hatukurupuki kama Serikali iliyopita,tunasaka concessional loans na grants.

Soma hapa jinsi ambavyo tunalenga kutoa mikopo ya riba ndogo kwa wananchi afu ujishangae kwa kukurupuka

View attachment 2040751

View attachment 2040752
Hehehehee naona umekuja na Id mpya tena, sema mwandiko ndio huwa unafeli kubadili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwani wanapendelewa au ni formula ya mgawanyo ndivyo ilivyo? Wewe lalamikia fomula sio kulalamikia anaefuata fomula.
Formula ipi? Zanzibar kwa miezi 8 tu Imeshapokea trillion 4 kwa mgongo wa Tanganyika, zanzibar ina watu million 1.5 wakati Tanganyika ina million 60, hiyo formula ndio inataka hivi?
 
Upanga moja hiyo mkuu, ishawekwa humu sema cc huwa haturudii rudii picha ndani ya mda mchache kama hawa kima, utakuwa sehemu inarudiwa hata mara kumi kwa siku, wanabadilisha angle tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Upanga ni kubwa sana hata mara tatu kushinda hiyo uperhil.. Kwanini nasie tusipige picha mpya nyingi ili kukomesha hizi kelele zao .? Mana hiyo mitaa sasahiv kuna gorofa nyingi mpya zinazojengwa na zilizokamilka ..
 
Formula ipi? Zanzibar kwa miezi 8 tu Imeshapokea trillion 4 kwa mgongo wa Tanganyika, zanzibar ina watu million 1.5 wakati Tanganyika ina million 60, hiyo formula ndio inataka hivi?
Unaweza kuthibitisha madai yako? Formula ni 25% ya kila kitu cha Muungano Zanzibar wanatakiwa kupata.

Hata wangepata til.100 ishu kubwa ni wamefuata fomula yagawanyo ambayo haikuwa ikifuata.

Narudia tena wewe lalamikia waliiweka fomula sio wanaosimamia utekelezaji wa fomula.
 
Umeelewa nilichoadika.? Nimeandika wapi kama ukipiga picha kijitonyama hilo jengo hakuonekani.?
Kwa hivyo unakataa maneno yako mwenyewe? Typical bongolala
Hilo jengo halipo kijitonyama sasa na hata ukipiga picha kutokea kijitonyama hilo jengo hakuonekani kwa umbali huo 😂😂😂 we dar huijui piga kimya.. utachekwa.. ngoja nikuonyeshe ukipiga picha kutokea kijitonyama mpaka hapo inakaa aje 👇View attachment 2040656
 
All the pictures you have posted are summarized by this one aerial view shot.

View attachment 2040829
1507327_tapatalk_1492460480845.jpeg

Sasa kama ishu ni kufanya summary ☝️ NAIROBI hiyo hapo, then what the meaning of this battle.? Mbona mpo bitter sana na maendeleo ya Tz.? Kitu hampendi ni fair comparison .. sijui huwa mnaogopaga nini
 
Back
Top Bottom