Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tahira sana huyo jamaa anafkiri anaweza kuijua DSM kwa google tu , halaf inaonekana anatamani maeneo yasiendelee kabisa yani
Mwingine huyu hapa amepost picha waliyoitengeneza ili waharibu muonekano halisi, Wakenya ni mbwa kabisa.
JamiiForums636278412.jpg
Screenshot_20211212-113020.jpg
 
Chuki zinawafanya mpk kuingia studio na kuharibu muonekano halisi wa maeneo ya Tz ili tu tufanane nao kwa ma slums, mbn cc tunapost picha zao halisi? Wao wanataka tufanane, Wakenya ni wapumbavu na mbwa sn.
 
Bro zimekua ni ndoto zangu za mda mrefu sana kubadili narratives kuhusu Dar, nasubiri DJI yangu nikiishika mkononi nitakua nikipiga picha za juu za maeneo mengi na huu Uzi utakua wa moto sana
Hongera utakua mbongo wa tano kununua drone. 😂😂😂😂
 
Hio area umecircle unajua north to south ni 4km long, sawia na kutoka Ocean Road hadi Kariakoo ndani, that shows you Nairobi CBD is twice big than hio CBD yenu ya posta hapo Kisutu.
Unajua unachokiongea au unaropoka tu na wewe uonekane unaijua Dar.
 
Back
Top Bottom