Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
๐๐๐ pole kwa maumivuSasa kijiko nyama ina maendeleo gani kwa mfano? Maendeleo ya vijighorofa kando ya barabara na uswazi pembezoni?
๐๐๐ pole kwa maumivuSasa kijiko nyama ina maendeleo gani kwa mfano? Maendeleo ya vijighorofa kando ya barabara na uswazi pembezoni?
๐๐๐ Kumbe ni jengo moja tu ndio limemis kwenye picha.? ๐๐๐๐Niletee GTC kwa hii picha pekee tu
Hakuna cha maumivu hapo. Picha za juu za kijitonyama zimesambazwa huku kwa Miaka tatu sasa so we all know how it looks like. Maghorofa kando ya barabara๐๐๐ pole kwa maumivu
A few days ago mlisema kwamba hiki kituo cha Morogoro ndio kubwa kuliko vituo zote kando na ile ya Dar. Is this true?
Kwasababu maeneo si huwa hayajengwi.. ๐๐ ngoja nikupe hotoria fupi ya makumbusho, kwanza ni eneo lilijengwa ndani ya miaka mitano tu, na kulikua na barabara ya njia moja tu, magufuli ikaiongeza barabara kutoka njia moja hadi njia nne 2017, baadae juzi tu elfu 2019 ukaanza ujenzi wa kuipanua zaidi pamoja na kuongeza mitaro, na Ili kuruhusu kujenga BRT lanes katikati ya barabara๐Hakuna cha maumivu hapo. Picha za juu za kijitonyama zimesambazwa huku kwa Miaka tatu sasa so we all know how it looks like. Maghorofa kando ya barabara
Na mimi mwenye nimekuwekea picha ya hii mwaka bado unapinga au, na hile pale si ni PPF tower ?Kwasababu maeneo si huwa hayajengwi..ngoja nikupe hotoria fupi ya makumbusho, kwanza ni eneo lilijengwa ndani ya miaka mitano tu, na kulikua na barabara ya njia moja tu, magufuli ikaiongeza barabara kutoka njia moja hadi njia nne 2017, baadae juzi tu elfu 2019 ukaanza ujenzi wa kuipanua zaidi pamoja na kuongeza mitaro, na Ili kuruhusu kujenga BRT lanes katikati ya barabara
View attachment 2040960ni kweli hii mitaa mingi ilikua haina lami, lakini as I'm talking right now hakuna chochoro hata moja ya hapo makumbusho ambayo haina lami .. kwasasa ni pazur mno
View attachment 2040962shida ya nyinyi hamtakagi fair comparison, mnalazimisha hata yasiyo kuwepo, kwa mfano, hii barabara ya bagamoyo road kuna upande ni mitaa yenye makazi mazuri, na kuna upande kuna mitaa Iko ni uswazi tho hayo maeneo mengi ni biashara ndogo ndogo zinafanywa sana hapo
hata kuna kituo cha mabasi hapo n.kView attachment 2040967shida iliyopo ni kwamba kila hamtaki kuelewa kila kukicha mnarudsha discussion hiyo hiyo moja .. naakati kila kitu kimeshaelezwa humu, mnachokifanya nyinyi ni kurudisha picha zilezile zilizopigw tangu hiyo miaka mitatu iliyopita unavyozungumzia, and that's why nawaona ni matahira tu au waoga
PPF tower haipo makumbusho acha ubishi na wale ile picha haijapigwa kutokea makumbushoNa mimi mwenye nimekuwekea picha ya hii mwaka bado unapinga au, na hile pale si ni PPF tower ?
Wapi ghorofa za kando ya barabara hapa?๐คฃ๐คฃ๐คฃ Aibu ya Dar haifichiki.Bwana ichoboy01 fanya utunze hii picha ๐View attachment 2040880
Teargas hivi Kibera iko upande upi hapa?View attachment 2040830
Sasa kama ishu ni kufanya summary โ๏ธ NAIROBI hiyo hapo, then what the meaning of this battle.? Mbona mpo bitter sana na maendeleo ya Tz.? Kitu hampendi ni fair comparison .. sijui huwa mnaogopaga nini
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Nimeisave tayari aiseeView attachment 2040830
Sasa kama ishu ni kufanya summary โ๏ธ NAIROBI hiyo hapo, then what the meaning of this battle.? Mbona mpo bitter sana na maendeleo ya Tz.? Kitu hampendi ni fair comparison .. sijui huwa mnaogopaga nini
Maslums kushoto kulia, mapori na kaeneo kadogo cha ghorofa 5 ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃHapo is more developed than anywhere else in East Africa.
Dah aisee we jamaa ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃHuwezi kukutana na picha moja ikaonyesha Dar yote never Ila photos of the tinny town of yours ๐View attachment 2040847utaninyesha nini nje ya hapa โ๏ธ ๐๐ mbuga za wanyama au .. we endelea kutafuta unplanned settlements zikufariji
Jamaa summarized the whole battle kwa post moja tu ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃDuh, Aisee hii picha nimeitafuta sana, hii niliona wakenya wenyewe kule SSC waliiponda sana, sasa hii ndio inaitwa kitu live bila chenga ๐
Facelift ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mwmbie lipo Sam Nujomba karibu na Mlimani City,Law school of Tanzania,University of Dar es Salaam na lina karibiana na Mawasiliano tower ni mbali kabisa na kijitonyama.Hapo bado jengo lefu la DawasaHilo jengo halipo kijitonyama sasa na hata ukipiga picha kutokea kijitonyama hilo jengo hakuonekani kwa umbali huo ๐๐๐ we dar huijui piga kimya.. utachekwa.. ngoja nikuonyeshe ukipiga picha kutokea kijitonyama mpaka hapo inakaa aje ๐View attachment 2040656
usijal mkuu nishaichukua kwa manufaa ya thread hii ๐๐๐Hii picha mwenyekiti ichoboy uitunze sana hii inajibu kila swali huko mbele.