Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama uchoko ni sifa au ujanja, wewe si ugawe tako lako kimya-kimya.

Kwani ni lazima wote tuwe kama wewe? Tanzania machoko wapo kabla hujazaliwa, na wako huru ndio maana wametamalaki Facebook na Instagram na wapo kote kwenye matamasha ya Taarabu, hivyo wako huru.

Feel free to be who you think or believe you are.
Kwanza, I am not gay. But I’m an outspoken ally! Pili, simlazimishi mtu yoyote kuwa shoga. Ila nasema ukweli usiopenda kusikia. Tatu, Hakuna “uhuru” wala usalama Kwa watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja nchi hii. Kwako ni rahisi kuongea upuuzi na ku-dismiss hoja za wengine lakini kama wewe ungekuwa victim, kama jamii ingeamua umpende nani na usimpende nani, then usingefungua domo lako chafu na kuongea ushenzi.
 
Kwanza, I am not gay. But I’m an outspoken ally! Pili, simlazimishi mtu yoyote kuwa shoga. Ila nasema ukweli usiopenda kusikia. Tatu, Hakuna “uhuru” wala usalama Kwa watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja nchi hii. Kwako ni rahisi kuongea upuuzi na ku-dismiss hoja za wengine lakini kama wewe ungekuwa victim, kama jamii ingeamua umpende nani na usimpende nani, then usingefungua domo lako chafu na kuongea upuuzi.

If I ask you a question regarding to gays, will you give me a sincere answer?

Let's be frank and hold a profound discourse.
 
Nyinyi ndio mtamchukia, kwani Magufuli c mlimchukia baada ya kutanguliza maslahi ya taifa mbele, nyie watu ni wapumbavu sn, eti mnamchukia mtu kisa katanguliza maslahi ya taifa lake mbele, huyu mama mnajifanya kumkubali kinafki mkidhani mtapata fursa lkn wapi mtamchukia pia soon mana biashara baina ya Tz na Kenya ni ya upande mmoja kwa ss.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni keyboard warrior nothing more, sisi tutazidi kuexplore the opportunities presented, magufuli ndio mimi nilimchukia maana alihangaisha my business partners family ambae ni mtz, lakini huyu mama nampenda kweli, na my business partners wanamkubali sana wewe shinda hapo, its a free world
 
na hii wamepewa msaada
du huyu mama ni mpumbaaavu kweliyani kawapa hao ndege huku kawapiga changa hao ndege azipiti week mbili watakuwa mamerudi tz wakati wakenya watakuwa wametupa faru .....kumbe some time house girl yuko na akili Tony254 @Komora096 @MK254 kumbe uhuru ni uhunye kweli sasa hao ndege wa aina hiyo mtawazuia vipi wasirudi tz
 
hotair balloons kilimanjaro na msijisahau ujenzi wa cablecars utaanza soon
nyie wakunya tukutane bank...
20211211_105102.jpg
20211211_105048.jpg
20211211_105035.jpg

kitu cha cable car
View attachment 2040313
miracle experience
 
Back
Top Bottom