Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii picha
3029893_EDE9D966-858C-400B-8F5B-85C5B2518F84.jpeg

ndio hii imekuwa summarized hapa
3029550_FB38E288-A766-4A18-AD45-AE5AC20B4E89.jpeg

Linear development as always
 
While some people are still stuck with linear development of places like kijiko ya nyama and are actually celebrating it, look at Parklands below
View attachment 2040431View attachment 2040434
Parky ni noma wachana na hizo ghorofa zao za kando ya barabara. Dar ni Posta + Kariakoo tu. Au ushawai skia wamepost kigamboni hapa apart from ile estate ya mchinku. 😁😂

Screenshot_20211211-133638.png


Screenshot_20211211-133144.png


Screenshot_20211211-134652.png


Screenshot_20211211-134559.png
 
It`s very shameful that a country like Tanzania only has five helicopters, no wonder your President was using Kenya helicopters for campaigning.
nyie washamba kabisa haya tuanze Bharesa anayo private moja,Polisi wanazao,jeshi wanazo zaidi sana.sasa unasema nani kakupa hiyo idadi
 
Ulitaka aendelee “kupakuliwa” Kwa Siri?

He’s very brave. He definitely has bigger balls than many of y’all on here. Nina uhakika kuna wapenzi wa jinsia moja wengi tu Tanzania. Mpaka wengine wamefunga ndoa na jinsia tofauti ili “kuishi maisha ya kawaida” lakini wanafahamu vizuri tu kuwa wana hisia za kimapenzi Kwa watu wenye jinsia kama zao.

Lakini Sio kwamba wanafurahi kuishi maisha wanayoishi; kuna expectations za jamii, dini, na Sheria za nchi, ambazo zinasimama kinyume na mahusiano ya jinsia moja. Watu wengi wakiona habari kama hii wanasema Kuwa ni “utamaduni wa wazungu” lakini cha kushangaza wanatumia Ukristo, ambao ni dini iliyoletwa na wazungu kujenga hoja pingamizi. Wengine wanasema kuwa hata wanyama hawajihusishi na mapenzi ya jinsia moja, lakini hata Twiga, ambaye ni mnyama wa taifa la Tanzania, hujihusisha na homosexuality. In fact, asilimia ya Twiga wanaojihusha na sexual activity za jinsia moja ni kubwa kuliko asilimia ya twiga wanaojihushisha na opposite sex!

Kuna government official wa Kenya alinukuliwa akisema kuwa Simba dume wanaojihusisha na tendo la ndoa la jinsia moja wanafundishwa na watalii. And this is the funniest thing I have ever heard!

I think homosexuality is natural. Na hata Afrika Mashariki kabla haijavamiwa na waarabu na wazungu, mapenzi ya jinsia moja yalikuwa ni tamaduni ya kawaida kwenye jamii mbalimbali/ Makabila. Lakini tatizo ni kuwa Afrika ina identity crisis! Tunaishi maisha yetu leo kwasababu ya cultural influences za nje. Ni influences za watu walioamini kuwa tamaduni zao ni bora kuliko zetu hivyo waka-convert watu kuwa Christians/ Muslims. Kwa hiyo leo Mwafrika akiona habari za wapenzi wa jinsia moja anakasirika utadhani yeye Ndio victim. Lakini kumbe Babu na Bibi zake huko nyuma kwao ilikuwa ni norm.

Obviously hii topic ni taboo. Watu hawataki hata kuizungumzia lakini ni vyema kuchunguza vitu Kwa undani kuliko kuoshi na kisirani Kwa watu hata wasiokujua. Sio dini zenu zinasema muwapende majirani zenu kama nafsi zenu? Hamuoni kuwa chuki juu ya jirani yako ni kosa?
Wew jamaa kila ilivyo itakua unaliwa tako wewe au uko na uwezo mdogo sana wa akili.. hauwezekani mtu timamu atetee huu upuuzi. Ushoga ni jambo ambalo halifai, halikubaliki na ni laana, ipo historia kwenye vitabu vya dini inayoeleza ni kwa namna gani Mungu anachukizwa na vitendo hivyo, rejea vitabu vya dini kijana..
Upuuzi ni wewe kumchukia mtu hata asiyekufahamu. Amekukosea Nini? Amekuumiza?
Wewe nimekudharau
 
Back
Top Bottom