Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mombasa
FGKvgeyXwAUZr8K.jpeg
 
Hahah wasitufanyie zile utoto za logs tuliona jana Dar,
Plus watoto kuchora majina vitu tulifanya nyayo stadium 1990!!!
Kitu funny hawa watz huona hizo sideshows wanasema tz tuko vyema, hawatuwezi wanaringa na acting classes
 
Mimi nangoja kuona the 8 agreements wataput to pen and paper, hopefully it favors both sides, lakini huyu mama watu watamchukia for opening up the country, but watamwelewa siku moja
Hizo 8 agreements zinahusu nini?

Kenya ndio iliifunga Tanzania? (basing on your +for opening up the country+) {sounds funny though}
 
Mimi nangoja kuona the 8 agreements wataput to pen and paper, hopefully it favors both sides, lakini huyu mama watu watamchukia for opening up the country, but watamwelewa siku moja
Tanzania is the biggest Exporter to Uganda, Burundi, Kenya and Rwanda, how is Tanzania closed country?, Wakenya mpo na shida Sana, kwasababu tunakwaruzana na Kenya hiyo tu ndio unasema Tanzania is not open country?, Unakumbuka sababu alizosema Magufuli kwanini alikataa "lockdown" kipindi cha Corona?, Ili asihathiri biashara na nchi jirani zinazoitegemea Tanzania, huko ndio kuifunga nchi?
 
Back
Top Bottom