ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
ww kwako ni sawa tu yani ndio dunia ilipofika leo hata ww unashabikia huu upuuzi?Ulitaka aendelee “kupakuliwa” Kwa Siri?
ww kwako ni sawa tu yani ndio dunia ilipofika leo hata ww unashabikia huu upuuzi?Ulitaka aendelee “kupakuliwa” Kwa Siri?
hii inaonekana iko poa sana
labda density ya misitu na miti 😂😂😂He even tried to compare Upper Hill with Ilala in that stupid comment. This is why sometimes I just choose to ignore him. Very irrational!
hii ndio density 🤣🤣🤣🤣 alooo👆👆👆
Here is one of his earlier comments in 2018 when he was seriously comparing Kijitonyama to upper hill.
Aiii aiii 💯💯 that plane is imposing mahn.
I like this place,I visit once In a while for a drink
Huyu jamaa anakuanga mbishi serious
Here is one of his earlier comments in 2018 when he was seriously comparing Kijitonyama to upper hill.
mm au sio mbona huni quote sasa au unaniogopa 😂😂😂😂😂Huyu jamaa anakuanga mbishi serious
Hio numberplate ni ya wapi, we jamaa ukona shida akilini lakinihawa watu wanamaisha magumu acheni tu
Nikuogope nini wewe mbishimm au sio mbona huni quote sasa au unaniogopa![]()

,utanifanya nini?Upuuzi ni wewe kumchukia mtu hata asiyekufahamu. Amekukosea Nini? Amekuumiza?ww kwako ni sawa tu yani ndio dunia ilipofika leo hata ww unashabikia huu upuuzi?
Nyinyi ndio mtamchukia, kwani Magufuli c mlimchukia baada ya kutanguliza maslahi ya taifa mbele, nyie watu ni wapumbavu sn, eti mnamchukia mtu kisa katanguliza maslahi ya taifa lake mbele, huyu mama mnajifanya kumkubali kinafki mkidhani mtapata fursa lkn wapi mtamchukia pia soon mana biashara baina ya Tz na Kenya ni ya upande mmoja kwa ss.Mimi nangoja kuona the 8 agreements wataput to pen and paper, hopefully it favors both sides, lakini huyu mama watu watamchukia for opening up the country, but watamwelewa siku moja
Mpumbavu huyo.Ubishi sio kitu kizuri. GARI, soma tena GARI za UK ni RHD, GARI za USA ni LHD. Nimekaa na kuendesha gari UK zaidi ya miaka 10. UK na Tz/Ke tunaendesha upande Sawa, USA wako tofauti na UK,Tz,Ke
ww kwako ni sawa tu yani ndio dunia ilipofika leo hata ww unashabikia huu upuuzi?
Kweli kuna watu wanaamini kuwa ushoga ni ugonjwa wa akili? Si huwa mnasema pia ni demonic possession?Ili swala la ushoga ni ugonjwaa wa akili, mwache ayaskie tuu kwa wenzake aombe yasimkute, we imagine una mtoto mmojaa tuu wa kiume alafu Ndio aje kuwa shoga unashindwa Mali zako atarithi nani yani ni hasara juu ya hasara
Safi, ila huyu ndio anaondoka hivyo..mara tatu zaidi.. kuna gap hapa tunawapiga
Kweli kuna watu wanaamini kuwa ushoga ni ugonjwa wa akili? Si huwa mnasema pia ni demonic possession?
Anyhow, najua hii ni ignorance tu. Kutana na Tim Cook, Chief Executive Officer (CEO) wa Apple Inc. (a Fortune 500 company). He’s gay na Ni billionaire, Sio billionaire wa TZS, billionaire wa USD! And he has NO children.
View attachment 2040146
Mtoto wako akiwa shoga haimaanishi uwezo wake wa akili umepungua au yeye ni zezeta. Unachoogopa ni kuwa hutakuwa na wajukuu wa damu wa kurithi mali zako. Lakini kwenye nchi za wenzetu Mbona kuna gay couples wenye watoto wao wa damu Kwa kutumia IVF?
Na Kama kuna watu wenye fortune ya matrilioni na hawana watoto, wewe na vijishilingi vyako vya urithi unamtisha nani? Urithi wako akirithi mtoto wako, atashindwa kuendeleza ulipoishia? Au unadhani pesa na assets zako utaenda nazo kaburini?
Hii ya mwisho mungiki muwape ushauri nasaha KDF wasije kujaribu kuiga watavunja kiuno...