ndughuri msuya
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 2,065
- 3,218
Au upande haivutii zaidi,Picha tumepiga tukiwa Kenya, so tunawezalenga upande wowote
Au upande haivutii zaidi,Picha tumepiga tukiwa Kenya, so tunawezalenga upande wowote
This is not news in Kenya, just routine event, that's why is ranked as a failed state.inauma sana aloo
Mzee tena unajiskiaVItu vingine kama hujui uliza. Gari za UK ni RHD na za USA ni LHD.



is this LHD or RHD 🤣🤣🤣🤣👇👇Mzee tena unajiskia
Watuuuu, kujeni muskie hku msomi nambari moja kutoka tanzania...
Hivi nikuulize kw tanzania ni RHD au LHD
nchi inajinyea sasa hvi 😂😂😂This is not news in Kenya, just routine event, that's why is ranked as a failed state.
Ubishi sio kitu kizuri. GARI, soma tena GARI za UK ni RHD, GARI za USA ni LHD. Nimekaa na kuendesha gari UK zaidi ya miaka 10. UK na Tz/Ke tunaendesha upande Sawa, USA wako tofauti na UK,Tz,KeMzee tena unajiskia
Watuuuu, kujeni muskie hku msomi nambari moja kutoka tanzania...
Hivi nikuulize kw tanzania ni RHD au LHD
@Tony254nchi inajinyea sasa hvi
bro naona umemvua chupi tayari na shanga tumeziona komora096 naww unataka kua demu wa diamond au???🤣🤣🤣🤣🤣Ubishi sio kitu kizuri. GARI, soma tena GARI za UK ni RHD, GARI za USA ni LHD. Nimekaa na kuendesha gari UK zaidi ya miaka 10. UK na Tz/Ke tunaendesha upande Sawa, USA wako tofauti na UK,Tz,Ke
tavor x95 imefungwa grenade launcher 45mm kama sjakoseaMwenye kujua hizo silaha??
Navy wetu wana mashine kali kama Special forces za Belgium.
Na hawa wenye kofia nyekundu wana vipisi vifupi mno!
View attachment 2039337
Micro-Uzi/Tavor na IMI 7.62 Sniper (galil)Mwenye kujua hizo silaha??
Navy wetu wana mashine kali kama Special forces za Belgium.
Na hawa wenye kofia nyekundu wana vipisi vifupi mno!
View attachment 2039337
Elimu ya tanzania ni kituko walai, yani mpka unajipiga kifua km umeendesha gari UK lkn hata vitu simple hujui mjomba...Ubishi sio kitu kizuri. GARI, soma tena GARI za UK ni RHD, GARI za USA ni LHD. Nimekaa na kuendesha gari UK zaidi ya miaka 10. UK na Tz/Ke tunaendesha upande Sawa, USA wako tofauti na UK,Tz,Ke
yes hawa n makomando wa navy majukumu yao kimedani ni tofaut na army commandosHawa ni aina moja ya navy.
View attachment 2039343
Unajitia mjanja kumbe hata maana ya LHD na RHD hujui

