Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

VM
the_village_market_20211122_211109_0.jpg
 
Hakuna kitu inaitwa Langata slum bongolala, wacha kusumbuka na Nairobi, utapasuka msamba. Kibera slum (which remains your only weapon here) is the only slum near Lang'ata. Kibera ilikuwa ndani ya Lang'ata Constituency kabla ya kugawanyishwa.
sasa unakataa au😂😂😂😂
 
we nawe kichwa nazi sijui umetokea wapi ,

kama unauelewa mdogo wa kwenye kuelewa content anayoandikz mtu,tafuta shughuli ya kufanya ,
bila shaka wewe ni jobless
lusematic the lunatic who doesn't think scientific data is based on reality....lunatic indeed
 
View attachment 2019117iyo picha hapo juu imepigwa kutokea makumbusho kuelekea Moroko, by the way hayo majengo marefu hapo chini Sky tower, melenium towers, Victoria noble center, Victoria palace, treasure Victoria apartments tin tower na mengine mengi kama yanyoonekana kwenye picha hapo(yapo mtaa wa makumbusho), nyuma ya majengo ya kulia neerby Sky tower panafanana hivi View attachment 2019076
Nyuma ya majengo ya kushoto (melenium tower) huo mtaa unaitwa mikocheni panafanana hivi View attachment 2019078View attachment 2019080View attachment 2019081View attachment 2019083View attachment 2019084View attachment 2019086au umeona slum hapo ...? And my mind you haya ni makazi ya watu wa kawaida tu .. alafu eti ndio ulinganishe na huu uchafu View attachment 2019087ni kichaa pekee ndio anaweza kuwaelewa .. tukisema hapo ni up coming CBD hatukosei.. ngoja nikuletee kwa ukaribu majengo ya biashara/HQs yanayopatikana hapo kwa hiyo road ambayo labda huwezi kuyaona vizuri kwenye hizi picha View attachment 2019097View attachment 2019098View attachment 2019099View attachment 2019100View attachment 2019110View attachment 2019113View attachment 2019114alafu eti kweli mnakuja kutukosea adabu na huo mtaa ulio empty .?
Naongea na wewe Nicxie
Hii makumbusho ni slum na tena ina building kumi pekee... lakini kwa wingi wa majengo haifiki mombasa road hata robo
IMG_20211122_221642_885.jpg

View attachment 2020238
 
Back
Top Bottom