Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu kauli ya kuzaliana aliisema katikati ya uongozi wake sio mwanzoni, lakini hata Kama alisema 2015, haina maana mwaka huohuo wanawake watapata unauzito na kujifungua mwaka huohuo.

Tatizo la uhaba wa madarasa ni tatizo sugu toka enzi za utawala wa awamu ya pili, watoto kusomea chini ya miti na kukaa chini lilikua kubwa Sana kipindi cha Kikwete.
😂😂😂 Geza ametoa boko
 
Mkuu kauli ya kuzaliana aliisema katikati ya uongozi wake sio mwanzoni, lakini hata Kama alisema 2015, haina maana mwaka huohuo wanawake watapata unauzito na kujifungua mwaka huohuo.

Tatizo la uhaba wa madarasa ni tatizo sugu toka enzi za utawala wa awamu ya pili, watoto kusomea chini ya miti na kukaa chini lilikua kubwa Sana kipindi cha Kikwete.
Asante sana kaka.
 
Onesha sehemu Magu akitoa kauli hyo 2015, alafu ona ulivyo zuzu toka 2015 mpk 2016 ni miaka 6[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3]


Wakenya hamna akili
Naona hii umemrarua geza, na kuwakejeli wakenya kabisa 😂😂😂.. Geza nae bhana anatuzingua sana, maneno ya uongo uongo yeye Anayapa support
 
Mzee kwamba una expectations kabisa?
emoji38.png
emoji38.png

Screenshot_20211121-180000.png
 
Nikiangalia hii video 👇. Alafu nikimkumbuka Magufuli basi machozi hayaniishi mashavuni, moyo inaniuma sana kumpoteza alie kua mrithi wa kweli wa baba wa taifa hili.. rest easy Mr. President

Now wameshaanza na mpango wa kujenga Bandari Mpya,

Tanzania tumempoteza mtu mwerevu na jasiri sana... Hiyo Gharama ya Kujenga Bandari Mpya wangewekeza kwenye Bandari zilizopo, na kuunda Industrial Parks tungekuwa Mbali.

Tanga ndio Mji wa Kwanza Tanzania kuwa Halmashauri, na Wajerumani waliiona Tanga Kama Strategic Area kuliko Hata Dar, Bandari ya Tanga ina potential Kubwa sana
 
Onesha sehemu Magu akitoa kauli hyo 2015, alafu ona ulivyo zuzu toka 2015 mpk 2016 ni miaka 6[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji3]


Wakenya hamna akili
Geza Ulole amekuwa mtu wa ajabu sana... yaani Rais anaapishwa mwezi wa 10 sasa hao watoto lini walifika miaka 6.
 
Hayo maeneo ni mnayoona kwenye picha hamjui chochote, leo ntakufafanulia uyajue, hapo hakuna slums kila kona mzee ni business Center area kubwa tu than you guys got to know..
Uafikiri tulijiunga JF jana?
 
in_daressalaam_1633704165085555.jpg
iyo picha hapo juu imepigwa kutokea makumbusho kuelekea Moroko, by the way hayo majengo marefu hapo chini Sky tower, melenium towers, Victoria noble center, Victoria palace, treasure Victoria apartments tin tower na mengine mengi kama yanyoonekana kwenye picha hapo(yapo mtaa wa makumbusho), nyuma ya majengo ya kulia neerby Sky tower panafanana hivi 👇
Screenshot_20211119-230032_1.jpg

Nyuma ya majengo ya kushoto (melenium tower) huo mtaa unaitwa mikocheni panafanana hivi 👇
3008022_IMG_6705.jpg
7ugg-1536x1024.jpg
122-1536x1024.jpg
4433-1536x1024.jpg
789-1536x1024.jpg
2875400_IMG_0283.jpg
au umeona slum hapo ...? And my mind you haya ni makazi ya watu wa kawaida tu .. alafu eti ndio ulinganishe na huu uchafu 👇
3008516_IMG_20211121_204044_006.jpg
ni kichaa pekee ndio anaweza kuwaelewa .. tukisema hapo ni up coming CBD hatukosei.. ngoja nikuletee kwa ukaribu majengo ya biashara/HQs yanayopatikana hapo kwa hiyo road ambayo labda huwezi kuyaona vizuri kwenye hizi picha 👇
Office-For-Rent-at-Vodacom-Tower-Dar-Es-Salaam2-scaled.jpg
whatsapp_image_2018-09-27_at_17.22.49.jpeg
19_big.jpg
Zain Tanzania HQ - Dar es Salaam 20100525 007small800x600.jpg
Tanhouse-Dar-es-Salaam-Tanzania-Real-Estate-Property-Office-Space-FOR-RENT-1-600x600.jpg
Tanzania-Exterior-1.jpg
frakatTowerSlider.jpg
alafu eti kweli mnakuja kutukosea adabu na huo mtaa ulio empty .?
Naongea na wewe Nicxie
 
Back
Top Bottom