ndughuri msuya
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 2,065
- 3,218
Huu uwanja unakula sahani moja na nyayo stadium Nairobi.
Huu uwanja unakula sahani moja na nyayo stadium Nairobi.
Mwambie pia viwanda vingi vikubwa vinatumia gesi kama mbadala wa umeme.Maybe Net Addition because some private power plants where switched off..like Symbion100Maw and IPTL40MW ..while we added around 390 Mw..From Kinyerezi 1 (150Mw) and 2 {240mw) (2018
Source yako Jamii ForumsHalafu hilo tatizo mlijitakia wenyewe, huyo mzee aliwarudisha nyuma sana, itawachukua muda mrefu kuamka Ukate miti milioni mbili halafu umuombe Mungu akuletee mvua? Serious?


























Sasa umeme na njaa afadhali nini. Maana food ni basic needNi aibu sana kwa nchi miaka 60 tangu muachiwe na mzungu bado mna matatizo ya umeme na maji hadi mjini kati, bora sisi vigumu sana usikie mambo kama hayo mjini kwenyewe, hutokea tu mara moja moja mitaani.
haha una tatizo sehemu we sio mzima na huyo alietengeneza huo uzi AKILI MMEKALIA. naweza kupa takwimu ukashangaa kwa siku miti inyokatwa njombe mafinga iringa mbeya ni nusu ya hiyo miti uliyotaja hapo na bado mvua zina nyesha na maji hujaa mpak mabwawa yanataka kupasuka leo hii kisa bwawa la nyerere linajengwa ndio litasababisha mvua kutonyeshaa.
Source yako Jamii Forums
Na nani alikuambia mvua zitakuwa hazinyeshi Tz
Wakenya hamna akili
Sasa umeme na njaa afadhali nini. Maana food ni basic need
Wivuuu, by 2022 Tanzania itakua inazalisha 5000MW umeme wa maji, Bei ya unit Moja itakua ni ndogo mara mbili ya Kenya, lazima viwanda vyenu vitashindwa kupambana kibiasharaHalafu hilo tatizo mlijitakia wenyewe, huyo mzee aliwarudisha nyuma sana, itawachukua muda mrefu kuamka Ukate miti milioni mbili halafu umuombe Mungu akuletee mvua? Serious?
Kwamba wanajifanya hawajui umuhimu wa JNHPP, kwahiyo hata mtera tusingejenga kama tungeogopa miti, na wachina je wangeogopa miti leo hii wangeisumbua US kwenye uchumi? Akili za wakunya inabidi kuchunguzwa huenda neva zao za fahamu zimejaa usahaWivuuu, by 2022 Tanzania itakua inazalisha 5000MW umeme wa maji, Bei ya unit Moja itakua ni ndogo mara mbili ya Kenya, lazima viwanda vyenu vitashindwa kupambana kibiashara




Sio kazi yangu kuwa mwalim wako wa uchumi...wakunya ni maviii mlileta mchezo kwenye exchange rate...sema ww ni mjinga wa siku zoteEti tuliweka pesa yetu fixed against the dollar?![]()
![]()
What are you even saying?
Wacha kujipiga kifua apa...wakati chakula tuu kimekuwa majangaaa toka kunya land iumbweNi aibu sana kwa nchi miaka 60 tangu muachiwe na mzungu bado mna matatizo ya umeme na maji hadi mjini kati, bora sisi vigumu sana usikie mambo kama hayo mjini kwenyewe, hutokea tu mara moja moja mitaani.





Umesahau Lissu na Lema walikimbia nchi kwa kumsingizia marehemu sasa kafariki wala hawarudiSs hivi wimbo umebadilika, kila baya linalotokea anasingiziwa marehemu kwamba alijenga ukuta kwamba ukuta ndiyo umeleta wezi yn ajenge ukuta alafu aamke aje kukamata wezi
Umeme kukatika analaumiwa kwamba alijenga bwawa, kwamba alikata miti mingi sasa mvua hazinyeshi na kwamba alikosea kujenga bwawa ilibidi kuwekeza kwenye gesi as if miaka yote tulikuwa tunategemea umeme wa gesi, au utadhani wangeweza kuhimili umeme wa gesi.
Machinga kushamiri analaumiwa analaumiwa kwamba aliruhusu Machinga kanakwamba tatizo limeanza baada ya yeye kuingia madarakani.
Afrika hatukupaswa kuwa na multi party system, bado njaa na uroho wa madaraka vinasumbua watu, yn watu wako radhi kuongopa mradi tu wapate mtaji wa kisiasa. Multi party system ilifaa ije kizazi cha 100 kutoka hiki chetu cha njaa.