Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe ndio uthibitishe sasa km hzo sio middle class, zilete baba acha kuruka ruka hapa..naona umekalia kuti kavu aisee
Ukiniletea middle class areas kumi tu natoka jf mimi
Jamani kwani mimi na wewe nani alileta mada ya ya kwamba unplanned settlements zile ni za middle class.? .. naweza kukuletea middle class settlements za DSM hata zaidi ya kumi.. nataka sasa kwanza wewe ulie claim kwamba unplanned settlements ndio watu wa middle class wa Dar huishi humo au ulete makazi ya watu maskini DSM au ukubali those areas are not for middle class na kwamba maskini wa DSM ni bora kuliko maskini wa NAIROBI, then nikuletee hizo middle class unazotaka kuona ili utoke JF..
 
Jamani kwani mimi na wewe nani alileta mada ya ya kwamba unplanned settlements zile ni za middle class.? .. naweza kukuletea middle class settlements za DSM hata zaidi ya kumi.. nataka sasa kwanza wewe ulie claim kwamba unplanned settlements ndio watu wa middle class wa Dar huishi humo au ulete makazi ya watu maskini DSM au ukubali those areas are not for middle class na kwamba maskini wa DSM ni bora kuliko maskini wa NAIROBI, then nikuletee hizo middle class unazotaka kuona ili utoke JF..
Zilete mzee baba
 
Sababu mwaka huu ndio Tanzania imeuza sana chakula Kenya and other countries, ungetegemea Tanzania cereals zingepanda bei sana kuliko mwaka jana badala yake ndio zimeshuka zaidi

Wakenya hata kujilisha wenyewe robo tu ya mahitaji yao hawawezi, lazy brains, lazy bones


Nani hutulisha?
 
me enjoying some khaligraph rap then boom i see how nice my city looks Sama boy 255 mbona una machungu hivi leo?
nai.JPG
nai 3.JPG
nai 2.JPG
 
The best 007 for you who has been singing matofali if you know how to avaluate photos i want you to look at the size of the car in the picture and the size of that block to have a rough idea of the size of those blocks and how big they are the road is still under construction
nai 5.jpg
 
Back
Top Bottom