Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ungejua hata sijali uweke data sijui Tz au kenya ipo mbele ya mwenzake kwangu hapo hakuna hata cha maana ,mi si muumini wa madata yasiyo na kichwa wala miguu,
mi naangalia ground reality only,,

data hazinilishi haziniveshi wala kunijengea,napambana kwa reality yangu
If they don't mean anything to you then why are you sweating over them? Why are you discrediting them? Si utulize tu kende basi uendelee kupambana na reality yako?
 
Hehehehee ulivyoandika li insha li refuu mtu asyetaka kusoma anaweza akahisi labda umeandika point kumbe hujajibu hoja hata moja zaidi ya kuandika ma broken tu, huwa nasema humu Wakenya hamna akili watu wanadhani nawaonea
Utaelewaje nilichoandika wakati unaaamini you have the monopoly on truth? Akili ikishatekwa nyara na ujinga na mawazo ya kibinafsi unafikiri itakuwa na uwezo wa kuelewa kitu? Ni kama kupigia mbuzi guitar
 
this ignorant idiot just said he doesn't believe in scientific data. Eti anaanglalia reality kwa ground....as if data comes from some mythical place😂😂😂

Nicxie at this point if you should let him proudly fly his "I'm an idiot" flag high
They don't believe in scientific data only when Kenya is placed ahead of them. The same scientific data ikisema hawapo tena LDC, ama iweke nchi yao mbele ya Kenya in anything, hapo hakuna shida! Utaona wakifungua nyuzi za kila aina to celebrate such news
 
IMG_3049.jpg
 




Baada ya dynamics kubadilika Chato airport kujengwa na Bukoba airport kujengwa na kupanuliwa na still kuendelea ku-serve undercapacity yaani underutilized mpaka sasa, hii project ina umuhimu gani?

Ni bora hata vile vya Kigoma na Butiama vikapanuliwa vikawa level ya wa Bukoba!

VBUpjzBlUUzXfjLsgdkP.jpg
 
this ignorant idiot just said he doesn't believe in scientific data. Eti anaanglalia reality kwa ground....as if data comes from some mythical place

Nicxie at this point if you should let him proudly fly his "I'm an idiot" flag high
we nawe kichwa nazi sijui umetokea wapi ,

kama unauelewa mdogo wa kwenye kuelewa content anayoandikz mtu,tafuta shughuli ya kufanya ,
bila shaka wewe ni jobless
 
If they don't mean anything to you then why are you sweating over them? Why are you discrediting them? Si utulize tu kende basi uendelee kupambana na reality yako?
huwezi kuikwepa reality ya maisha yako kwa kuvaa suti iliyokuzidi size,
kwani mwisho wa siku mbele ya reality ya maisha utaonekana kituko tu,na hata binafsi ukijitazama kwa kioo utaishia kujicheka na kutia huruma
images.jpg
 
Back
Top Bottom