Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,711
Hakuna kitu inaitwa Langata slum bongolala, wacha kusumbuka na Nairobi, utapasuka msamba. Kibera slum (which remains your only weapon here) is the only slum near Lang'ata. Kibera ilikuwa ndani ya Lang'ata Constituency kabla ya kugawanyishwa.Pembeni kdg tu ya hzo picha za upande upande kuna maslums ya kufa mtu, yn Kenya nzima ni ma slums kushoto kuliaView attachment 2019141View attachment 2019142View attachment 2019143



