The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Sasa inabidi na wewe utumie akili kdg wataalamu wanakwambia mko vzr kuliko Tz, hapo hapo mpk leo kuna Wakenya wanakufa kwa njaa wkt hakuna mTz anayekufa kwa njaa, je nani hapo ni maskini wa kutupwa?Uzuri ni kwamba wewe unataka nikubaliane na mawazo yako binafsi (personal opinion) wakati mimi nakupa data ya wataalam ambayo imefanyiwa utafiti na kuchambuliwa. Maisha ya ukunguni ni yale ya wananchi wenu milioni 28 who live in extreme poverty
Sio kila wanachosema wataalamu mnakichukua, vingine ni uongo tu kama mnavyoongopewa mna GDP kubwa wkt uhalisia hauko hivyo.
Hao hao wataalamu ndiyo waliosema Africa itashuhudia mizoga ya watu watakaokufa kwa corona ikizagaa barabarani, je uliona hyo mizoga?
Btw, c ni hao hao wataalamu wanasema binadamu wa kwanza alikuwa nyani na ni mtu mweusi, vipi unakubaliana nao? Wakenya tumieni akili mliyopewa na Mungu hata kdg mjikwamue na umaskini uliokithiri huko kwenu.
Wakenya hamna akili


