Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hizo kama unalazimisha ni middle class za Dar sawa, haya leta makazi ya watu maskini wa DSM, si mnajinasibu mnaijua DAR kisa eti mpo JF kitambo 😂😂, mnnichekesha sana.. hii ni duty nakupa wewe na huyu mbweha mwenzako Nicxie ..
Dar itakuaje na makazi ya watu maskini wakati hamna slums?
 
Kumbe kuna baadhi ya data na statistics ambazo mnakubaliana nazo! Ila zile ambazo zinapotray Tanzania negatively huwa hazina ukweli wowote 😂
We are living in very interesting times!
We Kwani umesoma kweli wewe.? Mbona unaakili ambazo zipo limited sana.?
 
Wekeni projects zenye kuwagusa raia wa kawaida nchi nzima, hasa projects za serikali zenye kuboresha huduma za jamii, punguzeni Sana Mambo ya Malls hayana msaada mkubwa kwa wakenya wa kawaida, hizi malls hazionyeshi jinsi serikali ya Kenya inavyowajibika kwa wananchi wake, hizi ni "private non essential public services"
Unadhani jaluo atakuelewa!
 
Unanielewa lakini wewe.? Nyie kila siku mnalazimisha kwamba hayo makazi ambayo hajapangwa ni makazi ya middle class wa Dar, owky nataka sasa unionyeshe makazi ya watu maskini, we si unadai unaijua DSM wewe.?
Nishakuambia Dar haina watu maskini. Ama hunielewi. Dar kila mtu ni tajiri na anamiliki dream house yake
 
Nairobi's Pentagon
dev aaa.jpg
 
Hizo kama unalazimisha ni middle class za Dar sawa, haya leta makazi ya watu maskini wa DSM, si mnajinasibu mnaijua DAR kisa eti mpo JF kitambo , mnnichekesha sana.. hii ni duty nakupa wewe na huyu mbweha mwenzako Nicxie ..
Leteni mitaa kumi ya middle class dar
 
Wekeni projects zenye kuwagusa raia wa kawaida nchi nzima, hasa projects za serikali zenye kuboresha huduma za jamii, punguzeni Sana Mambo ya Malls hayana msaada mkubwa kwa wakenya wa kawaida, hizi malls hazionyeshi jinsi serikali ya Kenya inavyowajibika kwa wananchi wake, hizi ni "private non essential public services"
Malls zinaonyesha jinsi gani uchumi upo imara na mzunguko wa hela vile vile
 
Kijana wa Tandale, achana na vijisababu za kijinga. So unataka kuniambia kwamba hapo Dar hakuna mtu anapiga picha na kuweka mitandaoni? Kwan hizi mnazopst humu mnatoa wapi?

About uswazi za Dar, so it's true Dar kuna maskini wengi sana coz asilimia kubwa ya Dar ni uswazi. Ni sehemu ndogo sana iko planned with better housing
Unataka kubishana na mimi mkazi wa DSM we matako.? Unaijua ilala wewe.? Umeshawahi kuona picha za ilala humu ndani.? Umeshawahi kuona picha za Kinondoni humu ndani.? Magomeni je.? Manzese.? Sinza.? na mitaa kibao as you know Dar es Salaam is the largest City in EA .. sehemu zinapostiwa humu ndani ni sehemu common tu tatu, hiyo barabara ya Mwenge-Morocco, Kk na Posta, na ndio mana punguani kama wewe unajitia eti "naijua Dar" mavi.. mfano 👇 hii ni ilala zoom vizur ule mji
3002320_2E83A565-59BC-449B-AE67-5828C9E6491B.jpeg
Screenshot_20211122-173232_1.jpg
umewaahi kuona picha za hilo eneo ☝️wapi.?
 
Nishakuambia Dar haina watu maskini. Ama hunielewi. Dar kila mtu ni tajiri na anamiliki dream house yake
Vipi umekosa au.. we si unaijua DSM wewe.? Hizo unplanned settlements umedai ni makazi ya middle class, sawa nimekukubalia leta sasa makazi ya watu maskini DSM
 
Hapa hukwepi
Kha.!! Sasa nani anamkwepa mwenzake Kati ya mimi na wewe.? Me nasubir uniletee makazi ya watu maskini DSM, mana ume claim kwamba unplanned settlements zile ni za middle class... Nasubir unionyeshe watu maskini DSM huwa wanaishi wapi
 
Kha.!! Sasa nani anamkwepa mwenzake Kati ya mimi na wewe.? Me nasubir uniletee makazi ya watu maskini DSM, mana ume claim kwamba unplanned settlements zile ni za middle class... Nasubir unionyeshe watu maskini DSM huwa wanaishi wapi
Wewe ndio uthibitishe sasa km hzo sio middle class, zilete baba acha kuruka ruka hapa..naona umekalia kuti kavu aisee
Ukiniletea middle class areas kumi tu natoka jf mimi
 
Back
Top Bottom