mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,443
- 4,941
Watakwambia kwao kila mtu ana kiwanja huku wakisherehekea magomeni "kotas"


Watakwambia kwao kila mtu ana kiwanja huku wakisherehekea magomeni "kotas"


Utoroshaji haijaanza Jana wala juzi na hadi kujenga ukuta na kuweka wajeshi ilikuwa ni kwa sababu hiyo hiyo, unfortunately hata baada ya hayo yote kufanyika utoroshaji umepungua ila haukuwahi kuisha.Kitafutwe Chanzo hasa ni nini?
According to MATAGMji wowote duniani ambao hauna modern infrastructures like BRT system, cable stayed bridges, electric sgr basi huo mji ni stone age.
Muliyoanzisha mlimaliza? What is mradi wa kimkakati ? Acheni upuuzi Nchi inapaa kwa kasi sana 👇mama tumpe mda gan tujue mirad yake ya kimkakati ya kuipaisha Tanzania? au tumsubirie kwa budget ya mwaka huu
Kama una chuki kufantuu..Hamna kitu pale 🤣🤣..Mzee kwamba una expectations kabisa?
Hamna kitu pale.
Hiyo uliyoleta ni "issue" tofauti na alichokisema Lema. The best 007 alikua anapingana na kauli ya Lema kumshutumu Magufuli kwamba kauli yake ndiyo iliyosababisha uhaba wa madarasana kutokana na watu kuitikia wito wa kuzaliana kwa wingisasa kama kuna tatizo mbona aihimize watu wazaliane au madarasa ya shule za awali (chekechea) hamyahesabu?

Niceacha upuuz..usirudie tena kuilinganisha na huo uchafu wenuView attachment 2019050
View attachment 2019051
Same kisiwani kumbe ndio kipande hivyo...anyway wacha watani zetu wapate mkeka
Wekeni projects zenye kuwagusa raia wa kawaida nchi nzima, hasa projects za serikali zenye kuboresha huduma za jamii, punguzeni Sana Mambo ya Malls hayana msaada mkubwa kwa wakenya wa kawaida, hizi malls hazionyeshi jinsi serikali ya Kenya inavyowajibika kwa wananchi wake, hizi ni "private non essential public services"
wilaya ya Same ni kubwa zaidi Kilimanjaro ukiangalia ramani!Same kisiwani kumbe ndio kipande hivyo...anyway wacha watani zetu wapate mkeka
Top top
I thought this thread is about Nairobi vs Dar. Why do you feel offended? Fungua thread ya Kenya projects vs Tanzania projects tutachangia nduguWekeni projects zenye kuwagusa raia wa kawaida nchi nzima, hasa projects za serikali zenye kuboresha huduma za jamii, punguzeni Sana Mambo ya Malls hayana msaada mkubwa kwa wakenya wa kawaida, hizi malls hazionyeshi jinsi serikali ya Kenya inavyowajibika kwa wananchi wake, hizi ni "private non essential public services"
Hizo kama unalazimisha ni middle class za Dar sawa, haya leta makazi ya watu maskini wa DSM, si mnajinasibu mnaijua DAR kisa eti mpo JF kitambo 😂😂, mnnichekesha sana.. hii ni duty nakupa wewe na huyu mbweha mwenzako Nicxie ..Hzo ndio middle class areas dar mzee
Km unavisha tuletee middle class areas kumi kutoka dar