Shebby01
JF-Expert Member
- Nov 11, 2020
- 2,520
- 5,872
Tupe picha za close view tuone 🙂Better than your dream houses.🤣View attachment 2019486
Weiye huijui DSM hata robo🙂
Tupe picha za close view tuone 🙂Better than your dream houses.🤣View attachment 2019486
Wenzenu tunaleta picha mpya nyie mmebaki na zilezile za 2017, mnabadili angle tu





Wanaweka picha zilizopigwa umbali wa mile 10,000 kutoka usawa wa bahari ili nyumba zionekane zimebanana zen waseme na cc kwetu kuna SlumsTupe picha za close view tuone
Weiye huijui DSM hata robo![]()










Utafikiri kuna nuclear bomb ilipigwa Nairobi sio kwa mpauko huo🙂Kuna mda alishawahi uliza maghorofa ya kunyaland yamegombana na rangi au? Kwa nini hawapaki rangi?
Mkuu list ni nyingi Sana mengine huaga tunapotezea Tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hayo ma slums uliyoyataja yote hayapo kwenye hii list wallahi,yani kila county Kenya kuna SlumsView attachment 2019502
I have already asked him that. Anatoa tu povu kama ilivyo kawaida yake
My point was ulinganishe Baba Dogo 'slum' na hizo uswazi zenu uone ni wapi afadhaliHii Kibera ni overrated tu, Kenya kuna maslums makubwa yanayo accomodate more than 2.5mil Slum dwellers wanaoishi pale KiberaView attachment 2019374
Ukiwa mnenguaji siku zote ukiambiea nyeusi ni nyekundu si unakubali, mataga katika ubora wake mwenyweWanaweka picha zilizopigwa umbali wa mile 10,000 kutoka usawa wa bahari ili nyumba zionekane zimebanana zen waseme na cc kwetu kuna Slums![]()
Ndio hivyo tena, lakini kama ingalikua tunapiga picha mpya mara kwa mara ningekushangazaEti Dar hakuna wapiga picha? 😂 😂
That sums it up!
😂😂😂☝️Huwa Nacheka sana, naona mmeanza kuhalalisha sasa kwamba eti humu ndio wanaishi middle class wa Dar es Salaam 😂😂, hayo maeneo ndio makazi ya maskin wa dar es salaam, ambapo sikuhiz yamepungua mnoo .. na ndio maana huwa nakwambia maskini wa NAIROBI akifika dar anakua fukara wa kutupaSome of these places You call slums can qualify as upper middle class in Dar.
This is Baba Dog "slum''
View attachment 2019292
Now compare that with these middle class areas of Dar
View attachment 2019293View attachment 2019294View attachment 2019295
Wanajifariji kwa kutumia picha zilizopigwa kutoka mbali.Tupe picha za close view tuone
Weiye huijui DSM hata robo![]()
Alafu hizo ni nini pembezoni? Zile dreamhouse zao ama?
Kenya kushoto kulia slumsView attachment 2019479
Kwahyo unataka kusemaje mdogo angu.?Small part of Westlands🤣
View attachment 2019507
"African modern" middle class area alongside the "african modern airport"Alafu hizo ni nini pembezoni? Zile dreamhouse zao ama?
Unauliza kuhusu rangi? Afadhali sisi tumeshindwa kupaka kuta zetu rangi. Si nyinyi muanze angalau na hizi bati zenu zilizoliwa na mchwa?Kuna mda alishawahi uliza maghorofa ya kunyaland yamegombana na rangi au? Kwa nini hawapaki rangi?