Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio hivyo tena, lakini kama ingalikua tunapiga picha mpya mara kwa mara ningekushangaza

😂😂😂☝️Huwa Nacheka sana, naona mmeanza kuhalalisha sasa kwamba eti humu ndio wanaishi middle class wa Dar es Salaam 😂😂, hayo maeneo ndio makazi ya maskin wa dar es salaam, ambapo sikuhiz yamepungua mnoo .. na ndio maana huwa nakwambia maskini wa NAIROBI akifika dar anakua fukara wa kutupa
Kijana wa Tandale, achana na vijisababu za kijinga. So unataka kuniambia kwamba hapo Dar hakuna mtu anapiga picha na kuweka mitandaoni? Kwan hizi mnazopst humu mnatoa wapi?

About uswazi za Dar, so it's true Dar kuna maskini wengi sana coz asilimia kubwa ya Dar ni uswazi. Ni sehemu ndogo sana iko planned with better housing
 

Mgao wa umeme: Hospitali ya KCMC yasitisha baadhi ya huduma​

Moshi. Makali ya uhaba wa maji na umeme usipime. Hivi ndivyo unavyoweza kuelezea adha wanayopitia wananchi huku Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini ya KCMC ikieleza athari inazopata kutokana na mgawo wa umeme.
 
Better than your dream houses.🤣View attachment 2019486
Nipe worst ya hii kokote duniani 😅😅😅

images (7).jpeg
images (6).jpeg
images (2).jpeg
 
Ndio hivyo tena, lakini kama ingalikua tunapiga picha mpya mara kwa mara ningekushangaza

Huwa Nacheka sana, naona mmeanza kuhalalisha sasa kwamba eti humu ndio wanaishi middle class wa Dar es Salaam , hayo maeneo ndio makazi ya maskin wa dar es salaam, ambapo sikuhiz yamepungua mnoo .. na ndio maana huwa nakwambia maskini wa NAIROBI akifika dar anakua fukara wa kutupa
Hzo ndio middle class areas dar mzee
Km unavisha tuletee middle class areas kumi kutoka dar
 
Mombasa na maendeleo..Buxton housing project..Over 1500 units under construction

 
Hako kaeneo ka hizo concentration camp kale palee 😅😅😅 majority ni 3.9 residents area, nafikiri unawajua
FEZmOywXwAE8GQ0.jpeg
 
Back
Top Bottom