Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Westlands inaipiga dar-is-a-slum cbd kwa kila kitu hadi tallest towerKwa pumba nawe umo
Westlands inaipiga dar-is-a-slum cbd kwa kila kitu hadi tallest towerKwa pumba nawe umo
Mzee wa Dairy Cattle.Boss, you're wasting your time. I know about all these kingdoms you're posting but you and I know the Tanzania state House architecture is Arabic. Tunapingana nini? You're now reasoning like idiots such as Venus Star and ichoboy01
Mzee upo na kihere here. Wewe ndio unajiita umesoma unaleta arguments za kitoto. Utata uletewe na makalio ya Wema Sepetu.Tuonyeshe jengo la TRA.
Design za kishamba. hivi ndio unajiita msomi. Nenda shule mwanangu. Upeo wako ni finyu. Sidhani kama umewahi kwenda nje ya Kenya. Comments zako zinaonesha jinsi ulivyo mbumbumbu.Unalinganisha commercial towers zenu na majengo yetu ya ghetto?🤣🤣
Boss, here is the equivalent of those Nairobi buildings you posted in Dar.
View attachment 1994032
Na ukitaka equivalent ya hiyo PPF Tower Nairobi ndio hii.
View attachment 1994033


ataibiwa simu 😀Siku moja ningependa upige mwenyewe picha za Nairobi kwa simu yako alafu zitupie humu kama cc tunavyofanya![]()
Fala wewe hujanielewa, na usithubutu kukimbia swali langu kwa upumbavu wako, hamtaki jengo la cbk kwa sababu ni baya na mnajua limechapwa na lile la BOT, tumewawekea jengo la cbk linalotambulika mnalazimisha Pension tower na times tower ndo yawe majengo ya cbk, mbn Google haitambui sasa,
Hakuna institute iitwayo pension wee kilaza. Elimu yenu kweli ni ovyo. Kila parastatal ya government ama agency ya government iko na department yake ya pension. CBK pension tower ni headquarters za CBK pensioners + other CBK headquarters ndio maana nikakueleza Hilo jengo ni part of CBK Complex kwa hivo usijifchoche na BoT towers Sana maanake kwenu kila kitu kipo hapo, kwetu kumegawanyika.


Matokeo ya elimu ya Tanzania, wao kila kitu kinajengwa na wachina ila cc vipo vitu high quality vimejengwa na kampuni za kizalendoHaya ndio maneno sio matokeo ya elimu .. ona matokeo ya elimu yenuView attachment 1994013View attachment 1994014View attachment 1994015View attachment 1994016elimu yenu inazalisha vilaza, maneno mingi Ila matokeo yake ni zero.. haya hii hapa ni matokeo ya elimu ya Tanzania
View attachment 1994025 PPF TOWER : ::: Estim Construction :::. View attachment 1994028hizi hapo juu ni facilities zilizotengezwa na Tanzanians wenyewe, kampuni za kitanzania, mafundi wa kitanzania, na hii ndio tunaita elimu, sio elimu yenu nyinyi ya kujisifu kujua kiingereza..
kujua kiingereza ni sawa na mtu kujua kisambaa yaani (vernacular languages).. and mind you hii ni miradi michache tu nimepost ulitaka ntakukomesha


Nimeeleza pale haya mambo ni ya kawaida kwetu. Yalianza zamani na bado yapo. We no longer get excited over white people attending a football match here.
Nani aliyekuambia utoe definition ya central bank? Tunaongelea kingine unajibu kingine, Wakenya hamna akili ya ku reason mambo kwa weledi.Bongolala, wewe unaishi Tandale mimi naishi Nairobi. Sasa iweje leo unajua maswala ya Kenya kunishinda mimi mwenyeji? Kama Times Tower si mali ya CBK, iweje inaitwa New Central Bank Tower?
CBK is the banker for, and advisor to the government of Kenya. All monies collected by the KRA through taxes, both at the national and county government levels, are banked at the Central Bank of Kenya. Bado unataka kujua mengi?
Linakaa godown la korosho kule lindi






Na hapa usisahau kuwakumbusha kwamba hiyo length ya 422km co line nzima ya SGR yetu bali umefananisha cost per length ili waone walivyo hawana akili, but length ya SGR yetu ya umeme upon completion itakuwa na zaidi ya 1000km.Mzee upo na kihere here. Wewe ndio unajiita umesoma unaleta arguments za kitoto. Utata uletewe na makalio ya Wema Sepetu.
Hebu nieleze nuelewe hapa. Vipi ka deni kenu mnaanza lini kulipa!?
View attachment 1994074
Sasa umeiba picha yangu tena?![]()
![]()
![]()
Hivi unataka ulinganishe milk production ya Kenya na Tanzania? Hivi hujui hapo kwa shelf za supermarket mmejaza maziwa ya Kenya wee mwehu?
Unajipeleka kwa story Mingi boss. First, there's NO similarity between Great Zimbabwe and Kilwa. Kilwa resembles Gedi in Kenya. Secondly, great Zimbabwe had no known external influence while Kilwa is a Muslim civilization with its most important building being the Great Mosque- should I tell you where Islam came from? Thirdly, your state House is of Arab architecture - how anyone would deny that baffles me. Just stop.Julize ni kwa nini ngome ya Mwenemutapa inafanana na Kilwa, huko kulikuwa na waarabu ?
Kwa nini kuna propaganda duniani inayoenezwa kuwa waliojenga Mapiramid ya Misri ni hawa waarabu wa sasa wakati inajulikana walienda pale karne ya 7AD? Wakati mapiramid yalikuwepo zaidi ya miaka 3000BC
Kwa nini sanamu za Misri zimekatwa pua? Uniambie ni erosion, yaani itokee puani pekee?
Kwa nini utawala wa Zanzibar unasifika sana kuliko Kilwa? Wakati utawala wa Kilwa ilikuwepo miaka 700 kabla ya Seyyid Said kuhamia pale ZNZ?
Ukipata haya majibu utajuwa hujui.
What's Tanzania's FIFA ranking?Hehehe, do you even have football hapo kenya kweli ?
I'm stating a fact. The biggest milk producer in Africa. You probably use our milk every day.Which Africa mzee, are you also this ignorant,?
Za Supermarket hapo kwenu. Stop putting your head in the sand.Shelve ipi imejaa maziwa ya kenya ? Unajua Nyie huwa ni wajinga sana ?