Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shelve ipi imejaa maziwa ya kenya ? Unajua Nyie huwa ni wajinga sana ?

Ntapita Supermarket kadhaa nipige picha shelf za Maziwa ataje maziwa yao

Jana nilikua naangalia shelf za vinywaji Baridi, ujue Cocacola na Pepsi wanapewa za Mbavu balaa.

Kuna Azam Cola
Mo cola
Super cola ( Milkcom)
Afiya
Twist etc.
Hizo kampuni kadhaa kila moja ikiweka flavor tatu hilo linshelfu lote linajaa.
Azam ndio kila kitu hadi landha ya ukwaju
 
Ndio utoroke vile ulitoroka ligiya 20+ floors baada ya kupata kichapo? Anza na hili gofu ambayo ndio ofisi ya makamu wenu wa RaisView attachment 1993935
kama unashadadia tuu poa
ila we kwa akili yako vice president(raisi mtarajiwa anytym)anaeza akakaa apo?
kuna institution zipo chini ya ofisi yake utambulisho wake lazma uanzie hivyo

mf: ofisi ya raisi (tamisemi) shule ya msingi kiembesamaki asa kwa akili yako sabab pameandikwa ofisi ya raisi unashupaza shingo!!

#we na brazaK wote sawa tuu (wakukurupuka 😂😂😂
 
Buildings za over 20 Tanzania nzima hata hazifiki 30. That`s a shame.
Gharama ya viwanjaa tz ipo chini hiyo inasababisha watu kujenga majengo mafupi mfano hapa dar viwanja unapata hadi tsh1,000,000 sawa sawa ksh50,000 .kwa kutumia Akili ilitakiwa kenya kuwe na magorofa marefu zaidi ya mara 10 ya tz lakini wapi.pia watz wanajenga nyumba zao binafsi kwa sababu ardhi inapatikana kwa bei chini hivyo biashara ya apartment siyo kubwa kama kenya
 
Amkeni mubebe aibu tena.😂😂😂

images (18).jpeg
 
Ntapita Supermarket kadhaa nipige picha shelf za Maziwa ataje maziwa yao

Jana nilikua naangalia shelf za vinywaji Baridi, ujue Cocacola na Pepsi wanapewa za Mbavu balaa.

Kuna Azam Cola
Mo cola
Super cola ( Milkcom)
Afiya
Twist etc.
Hizo kampuni kadhaa kila moja ikiweka flavor tatu hilo linshelfu lote linajaa.
Azam ndio kila kitu hadi landha ya ukwaju
Na hizo bidhaa za Tz kwa ss ndio zimejaza mashelve yao.
 
Gharama ya viwanjaa tz ipo chini hiyo inasababisha watu kujenga majengo mafupi mfano hapa dar viwanja unapata hadi tsh1,000,000 sawa sawa ksh50,000 .kwa kutumia Akili ilitakiwa kenya kuwe na magorofa marefu zaidi ya mara 10 ya tz lakini wapi.pia watz wanajenga nyumba zao binafsi kwa sababu ardhi inapatikana kwa bei chini hivyo biashara ya apartment siyo kubwa kama kenya
kunya land vichwa vimejaa tope hawezi kukuelewa
 
Huwezi compare Kenya vs Tanzania in terms of manufacturing. Kenya is way ahead, we even supply Milk ATMs which have been manufactured locally to TZ and Eastern Africa.
 
Usirudie benki kijana, hii bank ya kisumu si ulishaipost.? Au hakuna zingine.? Nilipost bank ya DODOMA ukajibu kwa hii, why now nimepost bank ya Mwanza unapost tena hii.? We fala.?
Benki ya Kisumu nilipost wapi? Hebu nitag mahali niliipost. Kama hata ya Nairobi ndio sijapost sasa ya Kisumu ningepost aje? I haven't posted any Central bank in Kenya. Wewe ndio ulipost central bank ya Mwanza , nit even Dodoma ukaniuliza ni post central bank kama hiyo outside Nairobi ndio nikaweka hiyo ya Kisumu. The only thing I have posed ni Ministry of finance headquarters. Hivi ndivyo mnakuanga mkiona mnaenda kulemewa
 
Back
Top Bottom