NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Shelve ipi imejaa maziwa ya kenya ? Unajua Nyie huwa ni wajinga sana ?
Ntapita Supermarket kadhaa nipige picha shelf za Maziwa ataje maziwa yao

Jana nilikua naangalia shelf za vinywaji Baridi, ujue Cocacola na Pepsi wanapewa za Mbavu balaa.
Kuna Azam Cola
Mo cola
Super cola ( Milkcom)
Afiya
Twist etc.
Hizo kampuni kadhaa kila moja ikiweka flavor tatu hilo linshelfu lote linajaa.
Azam ndio kila kitu hadi landha ya ukwaju

