Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Why should I have a picture of dwaf buildings as my screensaver?
Au hii uliyosema ni ya Sweden
JamiiForums791447819.jpg
 
Si umetaka jengo la Pension km cbk Pension tower au?
Nimesema jengo la BOT Pension tower kama sisi tulivyo na CBK Pension Tower nikakuelezea ni department ya CBK ukakana. Sasa nionyeshe hilo la BOT Pension Tower sio tu jumba lolote lililo na jina pension.
 
Kumbe hujui historia, pwani ya Africa mashariki ilikuwa aina ya majengo yake hata kabla ya wageni kuja. Ukiangalia kwa makini majengo ya zamani ya Dar, Tanga na Bagamoyo utaona yana utofauti na yale ya Zanzibar. Yale ya Zanzibar yanafanana na yale ya Omani wakati yale ya bara yanafanana na majengo ya zamani ya himaya za Kilwa na Mwenemutapa.

Wajerumani walipovamia pwani yetu walishangazwa na ujenzi huo wa pwani (kwa jinzi unavyo maintain humidity and temperature) na kuamua kuiga usanifu huo wa waafrika.

Majengo waliyojenga wajerumani kwenye makoloni yao mengine kama kule Namibia ni tofauti na yale ya Tanganyika, kule walijenga kutumia usanifu wa kijerumani (Gothic). Kama hujui, usanifu huo wa kiswahili unatokana na kuiga usanifu wa siafu (ants) wanapojenga kichuguu (anthill). Jotoridi ndani ya kichuguu huwa hakibadiliki sana kulinganisha na joto la nje.
Hiyo historia unayoongelea ni ya kuletwa kama tu hii yetu ya majengo ya Wazungu unayoibeza - hiyo ni ya majengo ya Waarabu wa Omani. Sasa kabla useme Kenya iko colonized, pia nawe uache kuiga Waarabu ujenge chako
 
Mwanangu kwa mambo ya technology nimekuzidi mbali mno. So ficha upumbavu wako. Nenda shule kajifunze technology. Wakati tunasoma nyie mnakula chang'aa kibera
View attachment 1993806
Sasa umeiba picha yangu tena? 🤣 🤣 🤣
Hivi unataka ulinganishe milk production ya Kenya na Tanzania? Hivi hujui hapo kwa shelf za supermarket mmejaza maziwa ya Kenya wee mwehu?
 
Sasa umeiba picha yangu tena? 🤣 🤣 🤣
Hivi unataka ulinganishe milk production ya Kenya na Tanzania? Hivi hujui hapo kwa shelf za supermarket mmejaza maziwa ya Kenya wee mwehu?
Ninaonesh namna ulivyomweupe. Nenda shule mwanangu. Japo uondoe ujinga
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom