Hizo jeshi za majimbo sio kamili mkuu. Hazina heavy weapons. Hata TDF iliiba heavy weapons kutoka ENDF walipovamia kambi la jeshi la ENDF mwaka uliopita. Waliiba vifaa kama tanks na artillery guns. Isitoshe jeshi za majimbo hazina airforce ndio maana TDF anapigwa kama mtoto kwenye vita vya hewa maana ENDF ana drones na jets ilhali TDF haina drones wala jets. Pia hawana surface to air missiles ya kuangusha ndege hizi.
Airforce pekee haiwezi kushinda vita. Jeshi la ardhi la ENDF ni hafifu sana ukiilinganisha na TDF. Wanakamatwa kwa maelfu kwa sababu TDF wapo vizuri kwenye vita vya ardhi kushinda ENDF.Sasa mbona wanatekwa maelfu kwa maelfu
Now ask any Tanzanian to post aerial view of Dar es salaam uone majabu.
Dreamhouses kushoto kulia 😂 😂Now ask any Tanzanian to post aerial view of Dar es salaam uone majabu.
@Tony254
Siku moja ningependa upige mwenyewe picha za Nairobi kwa simu yako alafu zitupie humu kama cc tunavyofanya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tukianza kupiga itakuwa ni the picture to infinity yn hakuna haja ya kupunguza angle ili zionekane nyingi, cc tutakuwa tunapiga tu mana huo utitiri wa nyumba elfu moja estates cjui kama imewahi kutokea East and Central Africa.
Maumivu yako peleka Tandale kijana, sikuwaambia mjaze jiji lenu na dreamhousesSiku moja ningependa upige mwenyewe picha za Nairobi kwa simu yako alafu zitupie humu kama cc tunavyofanya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pembeni kidogo ya hapo kuna shuzi la mbuzi, sema suu nikulipue [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyuma ya hapo kuna ushuzi wa slums [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Zikikamilika zote patapendeza sana.Tukianza kupiga itakuwa ni the picture to infinity yn hakuna haja ya kupunguza angle ili zionekane nyingi, cc tutakuwa tunapiga tu mana huo utitiri wa nyumba elfu moja estates cjui kama imewahi kutokea East and Central Africa.
Nilitaka nimlipue ila basi wacha nimuache mana ushampiga tayari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakwambia itakuwa hatari sana mzee. Miji lazima ipangwe from the scratch, mzee wetu aliona mbali sn.Zikikamilika zote patapendeza sana.
Dodoma inaenda kuwa jiji la mfano Africa.Nakwambia itakuwa hatari sana mzee. Miji lazima ipangwe from the scratch, mzee wetu aliona mbali sn.