Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Central bank of Tanzania DODOMA branch 👇
BOT.JPG
BoT+DODOMA.jpg
CENTRAL BANK OF TANZANIA Mwanza branch 👇
E3wi2d4XIAEr345.jpg
EkyCV7RVMAAIkke.jpg
CENTRAL BANK OF TANZANIA Arusha branch 👇
maxresdefault(5).jpg
we jamaa Nicxie njoo hapa ulete ofisi za CENTRAL BANK OF KENYA at least kwenye mikoa mitatu outside NAIROBI .. sio upige kelele tu alafu ground tunawapiga gepu.. NB hayo majengo yote hapo chini hakuna la mkoloni 😂😂😂..
 
Gharama ya viwanjaa tz ipo chini hiyo inasababisha watu kujenga majengo mafupi mfano hapa dar viwanja unapata hadi tsh1,000,000 sawa sawa ksh50,000 .kwa kutumia Akili ilitakiwa kenya kuwe na magorofa marefu zaidi ya mara 10 ya tz lakini wapi.pia watz wanajenga nyumba zao binafsi kwa sababu ardhi inapatikana kwa bei chini hivyo biashara ya apartment siyo kubwa kama kenya
Ndio tunawapowambia mkenya wa kawaida akija tz hawezi teseka km vile mtz wa kawaida aje hku..

Mkenya wa kawaida anayamudu maisha popote pale hapa EA
 
Ntapita Supermarket kadhaa nipige picha shelf za Maziwa ataje maziwa yao

Jana nilikua naangalia shelf za vinywaji Baridi, ujue Cocacola na Pepsi wanapewa za Mbavu balaa.

Kuna Azam Cola
Mo cola
Super cola ( Milkcom)
Afiya
Twist etc.
Hizo kampuni kadhaa kila moja ikiweka flavor tatu hilo linshelfu lote linajaa.
Azam ndio kila kitu hadi landha ya ukwaju
Hyo cola tayari ujue cocacola anapiga hela
 
I'm stating a fact. The biggest milk producer in Africa. You probably use our milk every day.
Biggest, longest, tallest hizi ni issue za primitive people. Watu ambao hawana exposure. Do you know even how Africa is!?
Which countries do you sell your milk!?
How many countries do Africa have!?
Do you know the population of Africa!?

Please answer my question properly I will give you a nice pride.
 
Fala wewe hujanielewa, na usithubutu kukimbia swali langu kwa upumbavu wako, hamtaki jengo la cbk kwa sababu ni baya na mnajua limechapwa na lile la BOT, tumewawekea jengo la cbk linalotambulika mnalazimisha Pension tower na times tower ndo yawe majengo ya cbk, mbn Google haitambui sasa, View attachment 1994119
Mbona na wewe hayo majengo huyataki na wakati ni ya CBK tu bado
Ndio ujue kenya sio level yenu
 
good to know that this building is located along Kikuyu Avenue in Dodoma

this building looks like it was opened in 2020 or 2021, what were you guys using before ama hamkuwa nayo? it seems what you guys are achieving now is what we did back in the 60's and 70's

Central Bank of Kenya, Kisumu
View attachment 1994031

Oky Kumbe haukuwa wewe, nilipost Central Bank of Tanzania DODOMA branch, mwenzako akapost kisumu, nikapost tena Mwanza branch wewe ukarudia tena Kisumu.. ndio mana nikakwambia hakuna kurudia mradi mmoja while mimi niliweka miradi miwili
 
Biggest, longest, tallest hizi ni issue za primitive people. Watu ambao hawana exposure. Do you know even how Africa is!?
Which countries do you sell your milk!?
How many countries do Africa have!?
Do you know the population of Africa!?

Please answer my question properly I will give you a nice pride.
Chizi hilo, mtu mwenye akili hawezi kujisifia maziwa wakati wanakufa kwa njaa, kwanini hayo maziwa yasisaidie kupunguza njaa?
 
hiyo ni agroprocessing na si manufacturing!
Before you do any processing you need to set up manufacturing plants. Na hapo ndio mumeshindwa. Processing sio kitu kubwa ju hata Yogurt unaeza jitengenezea kwa nyumba.
 
Before you do any processing you need to set up manufacturing plants. Na hapo ndio mumeshindwa. Processing sio kitu kubwa ju hata Yogurt unaeza jitengenezea kwa nyumba.
🤣🤣🤣Wewe ndiye msomi uliyetumwa na mama Ngina kuja ku argue na watanzania walioelimika kitambo!?
 
Central bank of Tanzania DODOMA branch 👇View attachment 1994288View attachment 1994289CENTRAL BANK OF TANZANIA Mwanza branch 👇View attachment 1994290View attachment 1994291CENTRAL BANK OF TANZANIA Arusha branch 👇View attachment 1994299we jamaa Nicxie njoo hapa ulete ofisi za CENTRAL BANK OF KENYA at least kwenye mikoa mitatu outside NAIROBI .. sio upige kelele tu alafu ground tunawapiga gepu.. NB hayo majengo yote hapo chini hakuna la mkoloni 😂😂😂..
Sasa mbona unasema narudia picha wakati we ndio unarudia? Hii ya Mwanza hukuwa ushapost?

CBK Mombasa
images (48).jpeg


CBK Eldoret
IMG_20151211_151734.jpg
2020-03-03.jpg
 
🤣🤣🤣Wewe ndiye msomi uliyetumwa na mama Ngina kuja ku argue na watanzania walioelimika kitambo!?
Mulielimika na hata hamuwezi tengeneza a simple Milk ATM. Mumejazana Kenya kununua, we like to benefit from your laziness by the way.
 
Back
Top Bottom