Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,641
- 15,744
Anataka ya BOTNa ndiyo nilimwambia huyo mjinga mwenzako tunazo Pension houses nyingi anataka ipi.
Anataka ya BOTNa ndiyo nilimwambia huyo mjinga mwenzako tunazo Pension houses nyingi anataka ipi.
Nimekuuliza kama utapata bure maanake unaona kama ni yako.Tutapata umeme kwa Bei ndogo Sana, na Ile pesa itakayopatikana kwa kuuza umeme itaenda kujenga miradi ya maji vijijini ambako wanakijiji wanapewa maji bure bila malipo yoyote, pesa ingine itaenda kujenga mifumo ya umwagiliaji mashamba vijijini wananchi wanatumia bure bila malipo![]()
Nadhani umejua faida ya projects owned by Government vs projects owned by Mama Ngina and her relathievesNimekuuliza kama utapata bure maanake unaona kama ni yako.



Bongolala, wewe unaishi Tandale mimi naishi Nairobi. Sasa iweje leo unajua maswala ya Kenya kunishinda mimi mwenyeji? Kama Times Tower si mali ya CBK, iweje inaitwa New Central Bank Tower?Pumbavu wewe KRA and Central Bank are the same thing so kwann hao waitwe KRA na hiyo iitwe Central Bank.
Leta hapa roles za Revenue authority alafu leta na roles za central bank.
Bongolala ni bongolala tu. Nyumba mbili ndo inakupea orgasm??Baadhi ya vijiji hapa Tanzania.True middle income inabidi tuanzishe battle kulinganisha quality ya maisha ya wanavijiji wa ke na Tz.Hapa ni vijiji huko BukobaView attachment 1993930View attachment 1993932View attachment 1993931View attachment 1993933View attachment 1993934
Kumbe we jamaa ni mbumbumbu, uliewa lakini nilikua nazungumzia nini.? Shule ulikua unapataga ngapi.?Unalinganisha commercial towers zenu na majengo yetu ya ghetto?🤣🤣
Boss, here is the equivalent of those Nairobi buildings you posted in Dar.
View attachment 1994032
Na ukitaka equivalent ya hiyo PPF Tower Nairobi ndio hii.
View attachment 1994033
Based on the hogwash you post, you should never even mention the word school in your posts. Retarded.🚮🚮Kumbe we jamaa ni mbumbumbu, uliewa lakini nilikua nazungumzia nini.? Shule ulikua unapataga ngapi.?
Kwani hiyo ofisi ya makamu wenu wa Rais si jengo yenu ya serikali? Mbona hutaki nizungumzie hilo gofu? Ama hizi ndio dalili za mapema za kushindwa?Kwani hili ni jengo lenu bro, weka majengo yenu tushindanishe na ya kwetu .. kwa mfano 👇 bank of Tanzania DODOMA branchView attachment 1993992
Boss, you're wasting your time. I know about all these kingdoms you're posting but you and I know the Tanzania state House architecture is Arabic. Tunapingana nini? You're now reasoning like idiots such as Venus Star and ichoboy01
Mimi sizungumzii majengo ya kurithishwa na wakoloni brogood to know that this building is located along Kikuyu Avenue in Dodoma
this building looks like it was opened in 2020 or 2021, what were you guys using before ama hamkuwa nayo? it seems what you guys are achieving now is what we did back in the 60's and 70's
Central Bank of Kenya, Kisumu
View attachment 1994031
Peleka ma**ko mbele hamnazo wewe.. umeshindwa kujitetea chiku weweBased on the hogwash you post, you should never even mention the word school in your posts. Retarded.🚮🚮
Kwani hiyo ofisi ya makamu wenu wa Rais si jengo yenu ya serikali? Mbona hutaki nizungumzie hilo gofu? Ama hizi ndio dalili za mapema za kushindwa?
Sawa basi, tupatie makao makuu yenu ya wizara ya fedha tufanishena yetu. Yetu ndio hii hapaView attachment 1994040View attachment 1994041
Ruins za Kilwa ni architecture ya Mwarabu. Kama tu Ruins za Gedi hapa Kenya. Acha kujifurahisha.Ikulu yetu inafanana na ruins za kilwa (9th century) , kama hupendi jinyonge.
Hizi ni nyumba 2 kila kijiji Tanzania kuna nyumba kama hizo hizo ni baadhi tu.tuoneshee vijiji vya Kenya.Bongolala ni bongolala tu. Nyumba mbili ndo inakupea orgasm??
Huna akili ungekuwa unaakili ungeposti vijiji vya kwenu as siku hizi Watanzania hizi nyumba tunazijenga mpaka vijijini.nyumba nyingi Tu.Bongolala ni bongolala tu. Nyumba mbili ndo inakupea orgasm??
Central Bank, KisumuCentral Bank of Tanzania .. MWANZA branch..View attachment 1994048View attachment 1994049njoo bwana Nicxie. Ulete facility kama hii nje ya NAIROBI
Mbona hutaki tutumie majengo ya urithi wakati ndio bado mnatumia saa hii?View attachment 1994044View attachment 1994045
Sorry kwenye hili hatutumii majengo ya urithi wa mkoloni.. hii ni ofisi tu .. jengo lenyewe linajengwa it's U/C
Julize ni kwa nini ngome ya Mwenemutapa inafanana na Kilwa, huko kulikuwa na waarabu ?Ruins za Kilwa ni architecture ya Mwarabu. Kama tu Ruins za Gedi hapa Kenya. Acha kujifurahisha.
Gedi Ruins, Kilifi, Kenya
View attachment 1994046
Of kos haiezi kua kubwa kuliko CONDOM but inapiga Library zote Danganyika kwa ukubwa. Hadi ile maktaba ya dar-is-a-slum universityKwani tulikuwa tunazungumzia ukubwa wa Library au Ubora wa University? Sasa ebu wewe mtoto wa nje wa Einstein uliyerithi akili zake tuambie, bado KU Library ni kubwa kuliko the entire UDOM?![]()