Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Hahaha expressway in total ni 27 kilometres. Sema tu unajisahaulisha kimaksudi.Ka Nairobi kweli ni kadogo wallahi, yn ka expressway ka 5km zilizoinuka ndo kame cover CBD, West land mpk airpot![]()
Hahaha expressway in total ni 27 kilometres. Sema tu unajisahaulisha kimaksudi.Ka Nairobi kweli ni kadogo wallahi, yn ka expressway ka 5km zilizoinuka ndo kame cover CBD, West land mpk airpot![]()
Sehemu iliyoinuka haizidi 4kmHahaha expressway in total ni 27 kilometres. Sema tu unajisahaulisha kimaksudi.



Matajiri ni asilimia ngapi ya wakenya?, Haizidi 1%, bado jam itaendelea tuHakuna shida. Wacha matajiri waondoke kwenye barabara ya chini. Tuwache kufinyana huku na wao. Wao wacha waende kwenye barabara ya juu. Mwisho wa siku kila mtu atafaidika
Sehemu iliyoinuka ni takriban 10 km.Sehemu iliyoinuka haizidi 4km![]()
Sio matajiri pekee bali pia middle class wataitumia. Hio 1% sijui umetoa wapi. Kati ya magari 20% na 30% zitaondoka katika barabara za chini.Matajiri ni asilimia ngapi ya wakenya?, Haizidi 1%, bado jam itaendelea tu
Sio kweli, ukitaka kujua ukweli linganisha Private Hospitals Kenya zimepunguza kiasi gani msongamano katika Hospitali za serikali, Madaktari wa Goverment Hospitals wakigoma unaona jinsi hali inavyokua hapo Kenya?Sio matajiri pekee bali pia middle class wataitumia. Hio 1% sijui umetoa wapi. Kati ya magari 20% na 30% zitaondoka katika barabara za chini.
Huu ni ushauri wa busara, ila kwa upande mwengine watu waache kumsakama kwasababu anayo haki ya kutoa maoni yake, na ukiangalia kwa undani Sana mengi anayosema ni kweli.Geza Ulole utapuuzwa na waTZ wengi huku. Utatengeneza chuki na Watanzania wenzako. Jaribu kutengeneza urafiki nao na kupunguza malumbano nao.
Bro hapa niliongeza chumvi kidogo 😂😂Kwanza, wapi tulisema kwamba uchumi wetu ulikuwa wa 7%? Hebu onyesha. Pili, uchumi wetu haukuwa kwa -3% bali -0.3%.
issue tu ni venye uchumi wenu unakua kwa mwendo wa mzee kobe 2.1% mwaka huu. sisi 7.6.. alah!
hebu google please.....
One of its kind in sub Saharan Africa ❤️❤️❤️kila nkiona hili jengo picha ya magu hunijia
View attachment 1982737View attachment 1982738View attachment 1982739View attachment 1982740View attachment 1982743View attachment 1982744
Kwenye ubebaji box huko kama unakuwepo na mkenya unapiga nae then kuna wapopo pia,wapopo wote salamu lazima iwe mambo-poa,uwa wanajisikia wivu sana mbongo na mkenya wakiongea lugha 1 while mataifa tofauti na siku zote wanasapoti swahili iwe lugha ya africayah,huo ndiyo ukweli
Katumia ndege ya rais wetuBurundi ni nchi ya Tanzania iliyopo nje ya mipaka yetu (joking)![]()
1)19< Age: They have time, Energy but no Money
2) 20 - 40 yrs; They have Energy, Money but no time
3) Above 45year; They have time, Money but no Energy
Kwahiyo mabinti wanajua kwamba huku watapa "Maximum attention"(time), highest pay(Money), from less work they perform (No Energy)![]()





Usidharau hii project. Hii ni the longest expressway in Africa. Hata South Africa au Egypt hawana expressway ndefu kama hii.
Kwa ndege ya Tz gvt?Hii kitu kumbe ipo?
