Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi vipanki havitumiwi tena Tanga ni old fashion gari ikipanda tuta, kichwa kinagonga roof .. siku hizi ni mwendo wa hizo dungu kama niliyopost, hivyo vipanki havitumiwi tena labda Arusha kidogo ndio wanatumia hivyo ila kwa Tanga tulishavipiga ban hakuna mtu atapanda ukileta nowdays
Mbona unatema pumba mzee, mbona wenzako reviews zao ni tofauti na zako au unafikiria wa tanga mombasa hatunao sio...
Wenyewe wakipanda wanapagawa, kwanza vigari vya mombasa tanga vichafu kweli kweli...
 
Inflation increases with economic growth. Najua huelewi correlation between the two lakini si ni shauri yako.
Bora hata umemuelimisha,huku Tzn inflation imeongezeka kidogo ila sababu ni kwa vile serikali ime pump fedha nyingi kwenye uchumi..

Wajinga wasiojua economics wamekariri kwamba kila inflation ni shida, inflation ya single digit ni heathy kwenye uchumi.
 
IMG_2065.jpg
 
Kwenye diplomasia Kenya inawapiga mnakaa chini. Usilete ligi kwa vitu ambavyo tuliwapiga zamani. Kwanza idadi ya embassy pekee Kenya ina embassy nyingi ulaya kuwashinda. Hata likija swala la idadi ya marais wa nchi zenye nguvu unakuta Kenya imepokea marais hao wengi kuwashinda. Kwa utawala wa rais Uhuru pekee tumepokea rais au Waziri mkuu wa S. Korea, Israel, India, USA, UK, Italy, France na Japan. Usicheze na Kenya weweee. Tafuta ligi yako kijana. Nenda katafute ligi na burundi sio Kenya. Kwanza Japan alihost Africa summit hapa Nairobi in 2016. Shinzo Abbe alikuja na serikali yake karibu yote na marais wa Afrika pia walikuja Nairobi kwenye hio summit.
umeishiwa hoja
 
hatimae FIFA wametoa ranking yao mpya leo
hizi ni ranking za dunia nzima
  • Tanzania tumepanda nafasi 2 kutoka nafasi ya 132 hadi 130
  • Rwanda wameshuka nafasi 5 kutoka 128 hadi 133 (tumewazidi)
  • Kenya wameshuka nafasi 2 kutoka 102 hadi 104
  • Uganda wamepanda nafasi 4 kutoka nafasi ya 86 hadi 82
View attachment 1981664
View attachment 1981665




ranking za mwanzo kbla za leo
View attachment 1981666
View attachment 1981667
Mzee kumbe mpo number 132? Kudadeki! Tumewashinda kwenye michezo zote. Yaani hata hii kandanda ambayo Kenya inafanya vibaya hamuwezi kutushinda? Sasa likija kwenye rugby au riadha ndio mtatuweza? Mnaweza kufanya nini cha maana isipokuwa kukula na kujaza dunia? Hahaha. Mnatia huruma,kinyaa na kichefuchefu.
 
Mzee kumbe mpo number 132? Kudadeki! Tumewashinda kwenye michezo zote. Yaani hata hii kandanda ambayo Kenya inafanya vibaya hamuwezi kutushinda? Sasa likija kwenye rugby au riadha ndio mtatuweza? Mnaweza kufanya nini cha maana isipokuwa kukula na kujaza dunia? Hahaha. Mnatia huruma na kinyaa.
 
Mzee kumbe mpo number 132? Kudadeki! Tumewashinda kwenye michezo zote. Yaani hata hii kandanda ambayo Kenya inafanya vibaya hamuwezi kutushinda? Sasa likija kwenye rugby au riadha ndio mtatuweza? Mnaweza kufanya nini cha maana isipokuwa kukula na kujaza dunia? Hahaha. Mnatia huruma,kinyaa na kichefuchefu.
Fifa ranking sometimes ni craziness imagine Tz inazidiwa na Palestine ambayo hata haijulikani inacheza wapi.
 
Mbona unatema pumba mzee, mbona wenzako reviews zao ni tofauti na zako au unafikiria wa tanga mombasa hatunao sio...
Wenyewe wakipanda wanapagawa, kwanza vigari vya mombasa tanga vichafu kweli kweli...
Na hilo pia unanibishia,na picha nimetuma .? We ni matako kweli wewe, Mimi Tanga sio mpita njia nimezaliwa nimeishi karibu maisha yangu yote.. hivyo vipanki vilikua vikitumika zamani sana muulize mwenyeji wa tanga yeyote atakwambia .. siku hiz watu hawavitumii.. mchongo ni madungu yenye space kubwa kwa juu ..
 
Mimi nilitegemea mtushinde angalau kwenye kandanda maana huwa tumelegea sana upande huo. Au basi hata mngetushinda kwenye rugby maana rugby huwa inataka mijitu yenye miraba minne iliyokula na kujishibia na kuvimbiwa. Nyinyi huwa mnajidai mna chakula kwa wingi na sisi tunakufa njaa. Sasa iweje watu kama sisi tunaokufa njaa ndio angalau tunajaribu kucheza rugby ila nyie mijitu yenye miraba minne mliokula na kujishibia bado mnashindwa kucheza mchezo huu? Mnakula sana ili iweje? Itakuwa mnakula na kukunya tu bila kutumia nguvu hio kwenye mambo ya maana.
Tazama wazee wa kazi waliposhinda Singapore 7s mwaka wa 2016 kwa kushinda kila mtu uwanjani.

1634829255113.jpeg




1634829305439.jpeg


Kazi yenu ni kukula na kukunya tu, nguvu hio mnaipeleka wapi?
1634829334039.jpeg

Sie hatuna chakula ila angalau tunajaribu kuiwakilisha Afrika kwenye michezo za watu walioshiba
A90E0580_-_Oscar_Ayodi.jpg

Endeleeni kujipiga vifua kwamba mna chakula ya kutosha na kwamba mnailisha Africa ila tunawapiga kwenye michezo zote.
 
Fifa ranking sometimes ni craziness imagine Tz inazidiwa na Palestine ambayo hata haijulikani inacheza wapi.
Wacha kusingizia Fifa. Fifa ipo fair sana. Usidharau Wapalestina eti kwa sababu wana matatizo na Israel. Wao wana talanta pia kama watu wengine.
 
Wacha kusingizia Fifa. Fifa ipo fair sana. Usidharau Wapalestina eti kwa sababu wana matatizo na Israel. Wao wana talanta pia kama watu wengine.
Hata sijwahiona au kusikia kume mechi wamecheza na kushinda😀😀😀
 
Hata sijwahiona au kusikia kume mechi wamecheza na kushinda

kutocheza sio sababu.. hata kama point zao ni za zaman .. zitabaki hivyohivyo with 0.00 change (mf, Tanzania tunaweza tusicheze mechi za FIFA miaka miwil kwa sababu zinazotambulika na FIFA na point zetu zikabaki hapohapo with 0.00 changes)tatizo ni ukifungwa unapoteza points, ukishinda unaongeza points.. so kwa palestina kazi ni kwako kufikisha hizo points zao kwa kushinda mechi zote za FIFA.. sio ajabu palestine kuwa juu yetu.. unless hufaham rankings zinavyopatikana
(ila kiuhalsia palestina ipo inacheza mechi za FIFA)
 
Hapo hatujatumia full potential
1..Beach Tourism...Mafia , Lindi ,Tanga, Kigamboni..bado hatujazikoleza..inabidi kuwe na fukwe international yani kila mkoa hapo

2..Cultural tourism/Historical toursim..Kilwa Ruins, Bagamoyo , Mbozi metorite

3. National Parks ..Gombe, Mahale, Ruaha, Selous ..complete Iringa Airport

4.Conference tourism ..

5..
 
Back
Top Bottom