babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,906
Nyie wazee mnaonga parefu halafu show ya sekunde kadhaa ndio maana mabinti wanawaelewa maana hamuwachoshi.Ninyi ni pasua kichwa, hamtaki kutoa pesa lakini kitandani mnasimamia kucha,![]()



Kijana akionga elfu 50 lazima ahakikishe ametosheka.



