Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

yale makaburi mengine yapo huko nyuma
IMG_2516.jpg

 
Ww ndio hata ulicho andika hujui, please back to your english"jisomee kenye umeandika" fool kwani uliambiwa ni lazima unijibu
Wacha nikufunze ngeli ya lugha ya Kiswahili ya Kenya. Justinr kwani hujui kuwa neno "kenye" pia ni neno la kiswahili hapa Kenya? Maana yake ni sawia na maneno " jambo ambalo". Badala ya kusema "Jisomee jambo ambalo umeandika" huku Kenya huwa tunasema "Jisomee kenye umeandika." Vile vile neno "penye" ina maana sawia na maneno "mahali ambapo" kwa mfano badala ya kusema "Nionyeshe mahali ambapo umeandika." huku Kenya huwa tunasema "Nionyeshe penye umeandika."
 
Kumbe kenya last year uchumi wao ulikua kwa -3.0% 😂😂😂😂, kwahiyo walikua wanatudanganya hawa jamaa😂😂😂 kujifanya eti uchumi wao ulikua kwa zaidi ya 7% mkunya ni muongo sana..
Kwanza, wapi tulisema kwamba uchumi wetu ulikuwa wa 7%? Hebu onyesha. Pili, uchumi wetu haukuwa kwa -3% bali -0.3%.
 
Kama ingekuwa ni "free of charge" ndiyo ungeweza kuwa na uhakika kwamba gari nyingi zingetumia kila siku. Hii ni sawa na Karen au Nairobi Hospitals, only upper and few Middle class can afford
Hakuna shida. Wacha matajiri waondoke kwenye barabara ya chini. Tuwache kufinyana huku na wao. Wao wacha waende kwenye barabara ya juu. Mwisho wa siku kila mtu atafaidika
 
Back
Top Bottom