Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

JPM hakufa kwa haki. Alikufa sababu ya kukataa kua corona inaexist ikampata kisha ikaamua. Aliletwa Nairobi hospotal lakino wapi.
Mwenyewe alisema kijana wake alipatwa na corona kumaanisha tayari virusi vya corona vilikua nyumbani kwake. Yeye mwenyewe Siku ya hukumu ndio atatwambia kwa nini alipuuza chanjo wakati wenzake museveni na Uhuru na kagame walichanjwa na wako hai as we speak.
Kama una amini hivyo basi ndiyo maana atumwamini mama sa100
 
Kwa uwelewa wangu ni mtu mmoja tu aliyenyongwa na Nyerere (Mzee Mwamwindi) baada ya kumuua kinyama mkuu wa mkoa wa Iringa(Dr. Kleruu), mahakama ilimtia hatiani kwa mauaji ya kukusudia na kuhukumiwa kunyongwa, Kama unamjua mtu yeyote mwengine aliyeuliwa na Nyerere tutajie tafadhali
Magufuli kamnyonga nani ? Sisi tunazungumzia kuua kwa jumla siyo mahakamani
 
Watu wanakufa kila siku wewe unasema ni dhahifu, au unataka kusikia maelfu ya watu wanakufa Kama wanavyokufa nchi zingine ndio tustuke? "a wise person is the one who learns from others".

Tumepoteza watu wengi Sana, juzi taarifa za serikali zimesema watanzania zaidi ya 700 wameshafariki, tumepoteza watu muhimu Kama Kijazi na wabunge wengi, waalimu na Nurses wengi, bado unasema sio tatizo kubwa?
Mbona walio chanjwa wanakufa serikali inaficha ,sasa kama wao wapo OK kwanini wasiwe wazi wangapi wamechanjwana kuugua kovidi na wangapi wamechanjwa wamekufa kwa kovidi ,pia kwanini baada ya kuchanjwa ndiyo wanavaa barakoa hadi wakati wanaoga wanaoga na barakoa tuta amini vipi kuwa chanjo ni ya kweli kama awajiachii
 
Ilo jengo zuri Sanaa nikifikiria kwenye maintenance kichwa kinanigonga kweli atleast kwenye airport tunajaribu jengo bado linameremeta
Ni kuamua tu!!!Ni kutangaza tenders kwenye mambo yote muhimu kwa ajili ya kuli maintain jengo!!! Ikiwemo usafi wa nje na ndani, landscaping mambo civil, mechanics and Telecommunications...etc,unaweka vigezo unawashindanisha pia anayeshinda unamtrack kwa kupitia performance appraisals, ukiwashindanisha hawa mabwana huwa wanakuwa na adabu kweli kweli kwenye kuperform.
 
Ngoja nikwambie kitu wapwani ni watu ambao wametengwa sana kimaendeleo na uhuru kenyatta na ndio sababu kubwa ya kuua pwani na watu wake na hio transportation ndio ilikua tegemezi kwa ajira kubwa sana kwa vijana wa pwani kupitia bandari leo hii mombasa imebakia ghost town na uchumi umekufa kabisa vijana wamebakia kua majambazi wengine madawa ya kulevya wengine wanauza miili yao alaf sijui unazungumza nn ww
Who told you, kw taarifa yako basi uhuru ndio rais ambaye amefanya miradi mingi sana pwani hata kuliko rais yyte yule hapa kenya..

Mambo ya vijiweni peleka kwenu
 
Covid 19 uptake is higher in developed world than in underdeveloped countries, within underdeveloped countries uptake is higher among educated and urban populations than otherwise, what can you conclude from these findings?

Those are not findings, they are just your opinions based on your own feelings,

And my conclusion here based on my feelings as well,

Covid has had minor effects in underdeveloped countries because of the below reasons

1. Population structure, like in Tz 64% of our population is below 25 years
Means that pyramid is very narrow towards the top, and hence less vulnerable population group, as you know Youth have proven to have stronger immunity than elders (according to studies ) and meta analysis studies suggest COVID-19 complications and severe hospitalization is significantly higher in immune compromised and individuals with weaker immunity than their counterparts,

2. The life exposure to various diseases made developing countries more immune to Covid-19 than the first world country,
Plus in developing countries people eat natural healthy foods, Climate high especially temperature in sub Saharan Africa played a significant role to minimise the effects of Covid-19 (studies say so)

My conclusion is,
People lost lives due to Covid-19 complications,
But the population isn’t yet convinced severity of the disease,
Otherwise if it could be as severe as it was in Italy, Spain etc ungeona vile kila mtu angekimbilia chanjo.

Lastly, provided that the Covid-19 vaccines helps an individual to reduce the risks of developing severe complications of Covid-19 like pneumonia, acute respiratory distress, kidney failure etc, let the vaccine remain voluntary, hakuna asiyependa kuishi. And you won’t pretend to love them than they love themselves,
Chanjo ingefanyika kuwa lazima kama kungekuwa na evidence kuwa inazuia transmission from one person to another.
 
IMG_2454.jpg
 
Umesifia kabila lake ona anavyojibamba
Na lini mlimtibu Lissu

Yn unasema kabisa waliompa first aid Lissu ni wajaluo na co Wakenya, umeingia mtego unaowamaliza nyie wakunya wa ukabila.

Alafu ukinipa ushahidi JPM alitibiwa kwenu navunja simu
Jpm alifia mikononi mw madakatari wa kenya
 
Hahaha, you fool,
Mbeya Mwanza
Mbeya Arusha
Mbeya Songea
Mbeya Tabora
Mbeya Dodoma
Mbeya Dar
Mbeya Sumbawanga
kote huku ni Lami mwendo wa Mtelezo tu.

Decent buses like these can’t commute Mbeya- Tanga in poor Roads like huko Kunyaland
View attachment 1978137

Your country is poor and small, you have only 10k of paved roads
Acha uongo mzee picha tunazo midude yenu inakimbia kwenye vumbi kila siku
images.jpeg-67.jpg
images.jpeg-66.jpg
images.jpeg-65.jpg
 
Back
Top Bottom