Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,499
- 17,572
Kama una amini hivyo basi ndiyo maana atumwamini mama sa100JPM hakufa kwa haki. Alikufa sababu ya kukataa kua corona inaexist ikampata kisha ikaamua. Aliletwa Nairobi hospotal lakino wapi.
Mwenyewe alisema kijana wake alipatwa na corona kumaanisha tayari virusi vya corona vilikua nyumbani kwake. Yeye mwenyewe Siku ya hukumu ndio atatwambia kwa nini alipuuza chanjo wakati wenzake museveni na Uhuru na kagame walichanjwa na wako hai as we speak.