Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe ni muongo mzee sisi kigoma mjini na kasulu mjini tulijengewa stand na magufuli tembea uone
hebu iweke tuone hadhi yake humu halafu tufananishe na kituo cha mabasi kinachojengwa Chato kijiji cha gharama ya zaidi ya Tshs 15 bln!


EceJWMWWAAArW_s




VS


Geita Town




VS


Chato Bus Stand phase I





Serkali yatoa bilioni sita kujenga stendi mpya ya mabasi Chato


18. Juni 2021
plooooo.jpg


Mkuu wa mkoa wa Geita Bi. Rosemery Senyamule amemtaka Mkandarasi Chuo cha Ufundi Arusha ATC anayejenga stendi kuu mpya ya mabasi Chato kukabidhi stendi hiyo mwezi wa saba ili mabasi yanayoenda mikoa jirani waanze kuitumia kwa kuwa serkali imeshatoa fedha zaidi ya bilioni sita.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Chato Sosthenes Clemence anasema ujenzi huo unatarajiwa kugharimu bilioni sita na mabasi zaidi ya mia moja yatatumia stendi hiyo..

Mkuu wa wilaya ya Chato Mhandisi Charles Kabeho anasema ujenzi wa stendi hiyo imekamilika kwa asilimia hamsini na itaanza kazi hivi karibuni.
 
Karibuni home county Mashujaa day tunajitayarisha
FB_IMG_16346542424354799.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_16346543027186681.jpg
    FB_IMG_16346543027186681.jpg
    56.4 KB · Views: 1
Huu ujenzi wa chuo cha TPSC Chato umefikia wapi?





132279353_207836870926237_7141595843814790097_n.jpg





MY TAKE
Hii ni baada ya JPM kufutilia mbali mpango wa Chuo cha Kilimo cha Mwl Nyerere Butiama

Yule jamaa na Idd Amini au Mabutu huwezi watofautisha,madikteta wapumbavu na wabaguzi wa kutosha,tungekoma bora alivyotangulia.
 
Mbona walio chanjwa wanakufa serikali inaficha ,sasa kama wao wapo OK kwanini wasiwe wazi wangapi wamechanjwana kuugua kovidi na wangapi wamechanjwa wamekufa kwa kovidi ,pia kwanini baada ya kuchanjwa ndiyo wanavaa barakoa hadi wakati wanaoga wanaoga na barakoa tuta amini vipi kuwa chanjo ni ya kweli kama awajiachii
Serikali ya Dhalimu ndio ilikuwa inaficha , usimlinganishe mama na Dhalimu,She is clear chanjo sio tiba bali inapungiza complications ukipatwa na uviko .
 
Mimi Magufuli ninamkubali Sana, baada ya Nyerere anakuja Magufuli, ameifanya Tanzania iheshimike na kujulikana duniani baada ya kupoteza heshima yake ya kipindi cha Nyerere, lakini Kuna maeneo alifanya vibaya, wakati Nyerere alisisitiza haki za binadamu na demokrasia lakini uchumi ulimshinda, Magufuli alifanya just opposite ya Nyerere.

Nyerere wakati anaondoka madarakani alikiri kwamba sera zake za uchumi hazikufanikiwa Kama alivyotarajia, alikubali na kukiri mapungufu yake, bahati mbaya Magufuli hakupata muda huo, lakini ninaamini Kama angepata muda mrefu wa kuishi na kuandika kitabu Kama alivyofanya Mkapa, angekiri madhahifu yake katika hayo maeneo ya demokrasia, haki za binadamu na mapungufu katika kukabiliana na UVIKO 19
Maoni yako yanaheshimiwa ila kwangu huyo ni Rais wa hovyo kuwahi tokea Tzn,sio tuu hakuwa mtu wa demokrasia bali alikuwa mwanamgambo asiyetumia akili,Nia njema isiyo na njia sahihi at last disaster .
 
Back
Top Bottom