Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,278
- 5,831
Ni kuamua tu!!!Ni kutangaza tenders kwenye mambo yote muhimu kwa ajili ya kuli maintain jengo!!! Ikiwemo usafi wa nje na ndani, landscaping mambo civil, mechanics and Telecommunications...etc,unaweka vigezo unawashindanisha pia anayeshinda unamtrack kwa kupitia performance appraisals, ukiwashindanisha hawa mabwana huwa wanakuwa na adabu kweli kweli kwenye kuperform.
Iyo adabu hata sijui tutaitoa wapii aisee cha muhimu viongozi wawe wakalii kweli kweli la sivyo treni zetu baada ya miaka mitano zitakua hazitamaniki