Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni kuamua tu!!!Ni kutangaza tenders kwenye mambo yote muhimu kwa ajili ya kuli maintain jengo!!! Ikiwemo usafi wa nje na ndani, landscaping mambo civil, mechanics and Telecommunications...etc,unaweka vigezo unawashindanisha pia anayeshinda unamtrack kwa kupitia performance appraisals, ukiwashindanisha hawa mabwana huwa wanakuwa na adabu kweli kweli kwenye kuperform.

Iyo adabu hata sijui tutaitoa wapii aisee cha muhimu viongozi wawe wakalii kweli kweli la sivyo treni zetu baada ya miaka mitano zitakua hazitamaniki
 
Ki ukweli kwenye sector ya usafiri hakuna nchi ina enjoy ukanda huu kama Tanzania yaani mpaka vijijini wanapata first class services
Hehehe!!jengeni barabara basi
Michina inalishwa vumbi mpka basi
images.jpeg-66.jpg
 
Yani Tanzania ni taifa ya mifukara kwa wingi.., on average what u use on road transport ni vipanya vya zamani sana.., hizi ndio mingi zaidi ya mabasi in Tanzania ama unapinga?.., model za zamani, uso wa ufukara
file-20190122-100279-1e1wh05.jpg

dar-es-salaam-tanzania-december-construction-main-street-capital-city-185636313.jpg
Hao jamaa wapo nyuma sana aisee, hzo old model zimejaa tanzania mpka basi
Sio tanga, arusha yani acha2
 
Mbona walio chanjwa wanakufa serikali inaficha ,sasa kama wao wapo OK kwanini wasiwe wazi wangapi wamechanjwana kuugua kovidi na wangapi wamechanjwa wamekufa kwa kovidi ,pia kwanini baada ya kuchanjwa ndiyo wanavaa barakoa hadi wakati wanaoga wanaoga na barakoa tuta amini vipi kuwa chanjo ni ya kweli kama awajiachii
Ndio sababu Kuna wataalamu wa Afya wenye uwezo wa kutoa majibu ya maswali yako, sisi waafrika tatizo letu ni kujifanya wajuaji wa kila Jambo, hatuaheshimu kabisa "Professionalism", ninachokiona kwako ni upungufu katika eneo la "Medical Epidemiology and Biostatistics".

Hivi kwanini Malaria inaendelea kuua watu hata Kama wametumia dawa za Malaria ambazo tunaamini zinatibu, hivi kwanini tunashauriwa kutumia kondom hata baada ya kugundua kwamba wote MKE na mume ni HIV+?.

Wizara ya Afya na WHO ndiko kwenye wataalamu wa Mambo ya tiba, tuwasikilize na kuwaheshimu, ni ajabu kwa wasomi kuyumbushwa na watu Kama Gwajima ambaye hajulikani eneo alilobobea, yeye ni mtaalamu wa kila kitu "Kwa jina la yesu". Waafrika lazima tujitathmini upya.
 
Mzena hospital iko Kenya
Tundu lisu alipost zile gari a week ago zikitembea dar, ali quote na kusema ya kwamba zile hauaga hazionekani mpka afe mtu mkubwa serekalini...
Mama akaanza kujitia kukagua polisi na wanajeshi kumbe mwili upo JKIA kimya kimya unawahishwa bongo
 
Hadi Sasa watanzania zaidi ya 700 wameshakufa, is this not serious problem?, Wakenya zaidi ya 5000 wamekufa, South Africa zaidi ya watu 10,000, collectively waafrika zaidi ya laki 3 wamepoteza maisha.

Uchumi wa Africa umerudi nyuma zaidi ya miaka 20 kutokana na impact ya UVIKO 19, biashara zimesambaratika, watu wamepoteza ajira, bado unasema COVID 19 sio seriou, are you really serious?, au kipimo chako cha seriousness ni Italy na nchi za Ulaya?.
 
Hadi Sasa watanzania zaidi ya 700 wameshakufa, is this not serious problem?, Wakenya zaidi ya 5000 wamekufa, South Africa zaidi ya watu 10,000, collectively waafrika zaidi ya laki 3 wamepoteza maisha.

Uchumi wa Africa umerudi nyuma zaidi ya miaka 20 kutokana na impact ya UVIKO 19, biashara zimesambaratika, watu wamepoteza ajira, bado unasema COVID 19 sio seriou, are you really serious?, au kipimo chako cha seriousness ni Italy na nchi za Ulaya?.
Hahaha!!mbona unawasuta kw mafumbo mzee
 
Safi sana kuona Kenyan brands (Ramtons & Armco) competing with international brands for home appliances market share. Proud of 254 🇰🇪

Appliances-05Mar21-768x403.jpg
 
Hadi Sasa watanzania zaidi ya 700 wameshakufa, is this not serious problem?, Wakenya zaidi ya 5000 wamekufa, South Africa zaidi ya watu 10,000, collectively waafrika zaidi ya laki 3 wamepoteza maisha.

Uchumi wa Africa umerudi nyuma zaidi ya miaka 20 kutokana na impact ya UVIKO 19, biashara zimesambaratika, watu wamepoteza ajira, bado unasema COVID 19 sio seriou, are you really serious?, au kipimo chako cha seriousness ni Italy na nchi za Ulaya?.
cc game over
 
Tundu lisu alipost zile gari a week ago zikitembea dar, ali quote na kusema ya kwamba zile hauaga hazionekani mpka afe mtu mkubwa serekalini...
Mama akaanza kujitia kukagua polisi na wanajeshi kumbe mwili upo JKIA kimya kimya unawahishwa bongo
Weka ushahidi kama Huna shut your mouth.
 
Tundu lisu alipost zile gari a week ago zikitembea dar, ali quote na kusema ya kwamba zile hauaga hazionekani mpka afe mtu mkubwa serekalini...
Mama akaanza kujitia kukagua polisi na wanajeshi kumbe mwili upo JKIA kimya kimya unawahishwa bongo
Kwahiyo serikali yenu pia inawaficha kwasababu wanaona Tz ni taifa kubwa hivyo hawawezi kusema siri ya taifa kubwa
 
Back
Top Bottom