Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Big bro acha kujichanganya kwamba eti DAR CBD kuna three blue buildings, simamia ukweli bhana.. and guess what CBD zenu zote tatu hakuna hata CBD moja inayoweza Toshana na posta pekee.. heb nisiongee sana tuende ground View attachment 1979497View attachment 1979498View attachment 1979499View attachment 1979501View attachment 1979506sasa na wewe unioneshe hiyo CBD kenya inayowezana na posta pekee ..na je Posta kuna majengo matatu ya vioo tu.?

Apa yenyewe unaniacha hoi sana nyie kenyans mjue kutofautisha Kati green spaces na mapori, Dar CBD Iko na green spaces pia hizi hapa View attachment 1979517View attachment 1979523ona vile green spaces zinafaa kuwa in CBDs .. alafu tofautisha na hii hapa ni porini kabisa jamaniView attachment 1979527na hizo CBD zenu zote zinaonekana kwenye hii picha moja

View attachment 1979525
Ivi wana ijua Dar haooo
Screenshot_20210928-082350.jpg
JamiiForums-1581881514.jpg
 
Point yangu ni kwamba pale Coco beach serikali ilikataa kumpa muwekezaji kwa ajili ya matumizi ya wananchi wa hali ya chini, huo ulikua ni uamuzi sahihi
Na mimi nasema sio maamuzi sahihi na hayakuwa ya serikali yalikuwa ni ya Mwendazake.

Maskini hawachangii chochote Kwenye kuendesha Serikali,hata wewe hapo kama kwenu ni maskini you are useless ..

Maskini wataenda sehemu ambayo sio prime.Naipongeza serikali kuwaondoa machinga mjini wanaleta.hasara kuliko faida.
 
Nani alikwambia Dar hakuna miti, unadhani Nairobi inaweza kuifikia Dar kwa idadi ya miti? Kwenye idadi ya high rises Nairobi haifikii Dar na hata green spaces haifikii vile vile, kama unabisha tuanze.
Nabisha. Tuanze tu.
 
Tangu lini Kenya ikafikia uchumi wa Tz, Kenya haiwezi na haitokuja kuikaribia Tz, na ndiyo maana nchi yetu inafanya miradi mikubwa ya kimataifa ambapo vinchi vidogo vidogo vya EA haviwezi, kuna vingi vya kujivunia vipo Tz na huwezi pata nchi yyte EA.
Wewe endelea kupingana na WB na IMF. Sasa kati ya IMF na wewe nani ndio kichaa? Kati ya IMF na wewe tumuamini nani?
 
Sasa hizi miti mbili ndio unapost hapa NDINDA ? Hata aibu kidogo hauna? Kama hii ndio green spaces ya Dar basi hata hakuna haja ya kulinganisha Nairobi na upuuzi huu.
Wasichojua ni kwamba Kuna maeneo kuna eneo hili lipo mjini Dar es salaam na hatuongei na Botanical Garden ipo pale Garden Avenue, Gymkhana yote na mnazi mmoja

Around Sokoine Drive by indaressalaam, 於 Flickr


Around Sokoine Drive by indaressalaam, 於 Flickr


Around Sokoine Drive by indaressalaam, 於 Flickr


Trip to Selous Game reserve by indaressalaam, 於 Flickr


Trip to Selous Game reserve by indaressalaam, 於 Flickr
 
Huo ni mtazamo wako wangu ni tofauti kwangu mimi mikono yake ilijaa damu pia! The more unanijibu the more nakujibu!
Mzee kuna utawala ambao haujawa accused Kwa damu za watu . Labda huu mpya wa bi mkubwa tangu napata akili nasikia utawala Fulani kuna kiumbe alipotea japokua ni ngumu kupata evidence isiyo kua na mashaka
 
Bongo washamba kweli kweli, hua wanaita Nairobi Naipori kwasababu hawajui maana ya leafy suburbs. 😂😂😂😂 Their ignorance is very appalling.
They completely ignorant. They don't know the immense environmental benefits of green spaces. As I have said, green spaces act as a heat sink thereby cooling the city. Cities naturally tend to be hotter than their surrounding environment because of something called the "albedo effect." Where the smooth concrete surfaces don't absorb heat but instead reflect it away into the environment thus making the environment hotter.
 
Wewe joto la jiwe huwe unasoma kwanza vizuri ,nimesemaaaaaaa nyerere kaua sana ila ni kwa HAKI
Kwa uwelewa wangu ni mtu mmoja tu aliyenyongwa na Nyerere (Mzee Mwamwindi) baada ya kumuua kinyama mkuu wa mkoa wa Iringa(Dr. Kleruu), mahakama ilimtia hatiani kwa mauaji ya kukusudia na kuhukumiwa kunyongwa, Kama unamjua mtu yeyote mwengine aliyeuliwa na Nyerere tutajie tafadhali
 
Pia tz atukukataa chanjo bali tunatumia fursa aliyo tupa mungu ya kovidi kuwa dhaifu kwetu kuvuta subira hadi itakapo thibitika chanjo bora zaidi
Watu wanakufa kila siku wewe unasema ni dhahifu, au unataka kusikia maelfu ya watu wanakufa Kama wanavyokufa nchi zingine ndio tustuke? "a wise person is the one who learns from others".

Tumepoteza watu wengi Sana, juzi taarifa za serikali zimesema watanzania zaidi ya 700 wameshafariki, tumepoteza watu muhimu Kama Kijazi na wabunge wengi, waalimu na Nurses wengi, bado unasema sio tatizo kubwa?
 
Kwa uwelewa wangu ni mtu mmoja tu aliyenyongwa na Nyerere (Mzee Mwamwindi) baada ya kumuua kinyama mkuu wa mkoa wa Iringa(Dr. Kleruu), mahakama ilimtia hatiani kwa mauaji ya kukusudia na kuhukumiwa kunyongwa, Kama unamjua mtu yeyote mwengine aliyeuliwa na Nyerere tutajie tafadhali
Hawa Chatogang bwana yaani wanatamani Magufuli atangazwe mtakatifu! watu wameumia aisee inasikitisha watu wanakosa utu kwenye hili!
 
Hesitance to Vaccine is all over the World.
Let them hesitate, and those who are okay go for it.
Covid 19 uptake is higher in developed world than in underdeveloped countries, within underdeveloped countries uptake is higher among educated and urban populations than otherwise, what can you conclude from these findings?
 
Na mimi nasema sio maamuzi sahihi na hayakuwa ya serikali yalikuwa ni ya Mwendazake.

Maskini hawachangii chochote Kwenye kuendesha Serikali,hata wewe hapo kama kwenu ni maskini you are useless ..

Maskini wataenda sehemu ambayo sio prime.Naipongeza serikali kuwaondoa machinga mjini wanaleta.hasara kuliko faida.
Coco beach ilitengwa enzi za Nyerere sio mwendazake, otherwise hilo eneo lingekuwa limekwishavamiwa kabla ya wewe kuzaliwa.

Tanzania ni nchi ya wakulima na wafanyakazi ambao wote ni masikini lakini ndio walipaji Kodi wakubwa na ndio wanaoendesha uchumi wa Tanzania.
 
Watu wanakufa kila siku wewe unasema ni dhahifu, au unataka kusikia maelfu ya watu wanakufa Kama wanavyokufa nchi zingine ndio tustuke? "a wise person is the one who learns from others".

Tumepoteza watu wengi Sana, juzi taarifa za serikali zimesema watanzania zaidi ya 700 wameshafariki, tumepoteza watu muhimu Kama Kijazi na wabunge wengi, waalimu na Nurses wengi, bado unasema sio tatizo kubwa?
Ma-professor wengi wameenda!
 
Back
Top Bottom