Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Ivi wana ijua Dar haoooBig bro acha kujichanganya kwamba eti DAR CBD kuna three blue buildings, simamia ukweli bhana.. and guess what CBD zenu zote tatu hakuna hata CBD moja inayoweza Toshana na posta pekee.. heb nisiongee sana tuende ground
View attachment 1979497View attachment 1979498View attachment 1979499View attachment 1979501View attachment 1979506sasa na wewe unioneshe hiyo CBD kenya inayowezana na posta pekee ..na je Posta kuna majengo matatu ya vioo tu.?
Apa yenyewe unaniacha hoi sana nyie kenyans mjue kutofautisha Kati green spaces na mapori, Dar CBD Iko na green spaces pia hizi hapa
View attachment 1979517View attachment 1979523ona vile green spaces
zinafaa kuwa in CBDs .. alafu tofautisha na hii
hapa ni porini kabisa jamaniView attachment 1979527na hizo CBD zenu zote zinaonekana kwenye hii picha moja
View attachment 1979525



zinafaa kuwa in CBDs .. alafu tofautisha na hii
, Super seat Bus