Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Coco beach ilitengwa enzi za Nyerere sio mwendazake, otherwise hilo eneo lingekuwa limekwishavamiwa kabla ya wewe kuzaliwa.

Tanzania ni nchi ya wakulima na wafanyakazi ambao wote ni masikini lakini ndio walipaji Kodi wakubwa na ndio wanaoendesha uchumi wa Tanzania.
Ndio tunataka wawekezaji walete pesa Ili kuwatoa watu kwenye umaskini,kwani umaskini ni kitu cha ku entertain?
 
Ninachoongelea hapa ile wapinzani kupambania kile wanachotaka na wanachoamini ni sahihi kwa wakati huo na wako tayari kulipa Gharama (pay the price) ya hicho wanachokipambania (refer dr. Slaa). Kwa hilo wapinzani wa Kenya na hata Uganda nawapa kongole maana wapo aggressive and daring siyo hizi takataka zetu hapa Bongo ni majungu tu na kujependekeza na kusalitiana kwa chama na serikali iliyopo madarakani. Machafuko yanaweza kutokea hata hapa TZ na mara zote chanzo chake ni serikali zilizopo madarakani maana huwa hazikubali kutoka kirahisi hata kama zimeshindwa uchaguzi au zinaona kuna dalili upinzani kuchukua madaraka. (Kenya waliosabaisha machafuko na mauaji baada ya uchaguzi si vyama vya upinzani bali serikali iliyokuwa madarakani kushindwa kukubali matokeo kwamba wameshindwa katika uchaguzi). Mbona Zambia na malawi juzi juzi tu hapa wapinzani wamechukua madaraka lakini hakuna fujo maana walioshindwa walikubali kushindwa japo kama kawida ya waafrika walikubali kutoka madarakani kwa mbinde)
Mkuu Kenya hakuna upinzani zaidi ya ukabila, niambie upinzani wa Kenya unachokitaka ni lipi zaidi ya kupigania mtu wa kabila lao kuwa rais. Hawapo tayari kufa kwa Jambo lolote lile zaidi ya kutaka mtu wa kabila lao kupata urais, Sasa huo ni upinzani au ukabila?
 
Unastahili kufahamu kuwa kwa kawaida,mji mkuu wa uchumi wa $102 billion kamwe hauwezi kutoshana na mji mkuu wa kauchumi kadogo ka $70 billion. Dar inaizidi Nairobi kwa idadi ya watu pekee. Kwenye majengo marefu tulishawapiga mkakaa chini zamani.
Huu ☝️wenyewe ni uongo, hakuna shughuli ya maana inafanywa hapo Nairobi hata iizidi DSM.. Inabidi tujadili hizi claims zako kwamba NAIROBI IS RICHER than DSM kwa lipi.?
Unastahili kufahamu kwamba miji yenye miti mingi ndio inayoheshimika duniani. Miji ambayo haina miti mingi inadharauliwa na kuitwa "concrete jungle". Environmentalists wanasema kwamba green spaces zinapunguza hali ya joto kwenye cities yaani inaitwa "heat sink". Concrete na cement surfaces ya cities inareflect miale ya jua na kuongeza hali ya joto katika effect inayoitwa "albedo effect". Kagoogle neno "albedo effect" utanielewa. Miti pia inaondoa carbon dioxide kwenye hewa na kuongeza oxygen kwenye hewa. Miti iliyopandwa kwenye barabara pia inaleta kivuli kwa wapita njia. Misitu mikubwa huchangia kuleta mvua. Miti huzuia mmomonyoko wa udongo. Usikejeli upanzi wa miti kwenye miji. Huu ndio mtindo mpya na hata miji zilizoendelea zimeanza kutilia mkazo upandaji wa miti kwenye miji.
Bro unaongea sana kana kwamba Dar hakuna miti iliyopangwa, hapo Nairobi hakuja jengwa kabisa it's a tiny town.. alaf nyie sehemu ikiwa na vigorofa vitatu tayari mnaita CBD kweli.? Na sie hapa👇tupaite CBD.?
Screenshot_20210620-210925_1.jpg
2843504_2AE90E62-66D5-4D3A-AE04-8074EDF1A245.jpeg
hii nayo tuiite CBD.? Kwasababu kuna vigorofa kadhaa, kenyans acheni uongo.. au hii nayo kwasababu Ina gorofa ndefu kadhaa nayo tuiite CBD 👇
mydaressalaam_1633824436919278.jpg
in_daressalaam_1633704165085555.jpg
2840609_1FF39919-1297-4CC7-A6D4-7CEF9CCAFD5A.jpeg
kwenye hizo CBDs zenu uchwara sio West lang na uper hill kuna nini zaidi ya vigorofa viwili vizuri in each one.? Acheni uongo

mydaressalaam_1633824436919676.jpg
 
Sasa hizi miti mbili ndio unapost hapa NDINDA ? Hata aibu kidogo hauna? Kama hii ndio green spaces ya Dar basi hata hakuna haja ya kulinganisha Nairobi na upuuzi huu.
Bro DAR kuna miti mingi mno usijichanganye
2805012_E3lL8RLXMAIezdw.jpg

They completely ignorant. They don't know the immense environmental benefits of green spaces. As I have said, green spaces act as a heat sink thereby cooling the city. Cities naturally tend to be hotter than their surrounding environment because of something called the "albedo effect." Where the smooth concrete surfaces don't absorb heat but instead reflect it away into the environment thus making the environment hotter.
Hapa hapo kwenu ni mapori tengefu, hakuna mji wowote mkubwa duniani uko na mapori ya hivyo, mapori sio masafi na hayana mpangilio
 
Mimi Magufuli ninamkubali Sana, baada ya Nyerere anakuja Magufuli, ameifanya Tanzania iheshimike na kujulikana duniani baada ya kupoteza heshima yake ya kipindi cha Nyerere, lakini Kuna maeneo alifanya vibaya, wakati Nyerere alisisitiza haki za binadamu na demokrasia lakini uchumi ulimshinda, Magufuli alifanya just opposite ya Nyerere.

Nyerere wakati anaondoka madarakani alikiri kwamba sera zake za uchumi hazikufanikiwa Kama alivyotarajia, alikubali na kukiri mapungufu yake, bahati mbaya Magufuli hakupata muda huo, lakini ninaamini Kama angepata muda mrefu wa kuishi na kuandika kitabu Kama alivyofanya Mkapa, angekiri madhahifu yake katika hayo maeneo ya demokrasia, haki za binadamu na mapungufu katika kukabiliana na UVIKO 19
 
Jana nilikua namsikia mfanyabiashara mmoja alikua anasema Coca-Cola na asas ndio wanaojenga halafu wataamia mule lakini sina uhakika . Nilikua nakula mihogo alone huku nasikiliza story za watu wengine

Ukiangalia Logo za Brands kwenye Mabanda ambayo tayari yamejengwa inawezekana. Ni bora pawe na order kuliko zile fujo za Mwanzo.
 
Mimi Magufuli ninamkubali Sana, baada ya Nyerere anakuja Magufuli, ameifanya Tanzania iheshimike na kujulikana duniani baada ya kupoteza heshima yake ya kipindi cha Nyerere, lakini Kuna maeneo alifanya vibaya, wakati Nyerere alisisitiza haki za binadamu na demokrasia lakini uchumi ulimshinda, Magufuli alifanya just opposite ya Nyerere.

Nyerere wakati anaondoka madarakani alikiri kwamba sera zake za uchumi hazikufanikiwa Kama alivyotarajia, alikubali na kukiri mapungufu yake, bahati mbaya Magufuli hakupata muda huo, lakini ninaamini Kama angepata muda mrefu wa kuishi na kuandika kitabu Kama alivyofanya Mkapa, angekiri madhahifu yake katika hayo maeneo ya demokrasia, haki za binadamu na mapungufu katika kukabiliana na UVIKO 19

Mwinyi na mkapa walikiri kwamba walibugii bado kikwete
 
Hizi fikra za wabongo! balaa , wacheni kulaumu Kenya kiholela holela, jaribuni kushirikisha ubongo.., tafuta kuelewa kwanza the underlying factors or causes of a happening..,

Unatafuta justification kwa mtu ambaye hajaweka any evidence to support his claim, kweli umeisha, huyo jamaa uliyeweka uzi wake hapa ni mjinga na huwa anachukuliwa hivyo hivyo kwamba ni mjinga, thread zake ni za kipuuzi na huwa anajaribu kuponda vitu ambavyo havipondeki, nilikuwa namlipua kwa kumpa facts with credible sources lkn baadaye nikagundua ni mpuuzi mmoja tu nikaachana naye.
 
Mimi Magufuli ninamkubali Sana, baada ya Nyerere anakuja Magufuli, ameifanya Tanzania iheshimike na kujulikana duniani baada ya kupoteza heshima yake ya kipindi cha Nyerere, lakini Kuna maeneo alifanya vibaya, wakati Nyerere alisisitiza haki za binadamu na demokrasia lakini uchumi ulimshinda, Magufuli alifanya just opposite ya Nyerere.

Nyerere wakati anaondoka madarakani alikiri kwamba sera zake za uchumi hazikufanikiwa Kama alivyotarajia, alikubali na kukiri mapungufu yake, bahati mbaya Magufuli hakupata muda huo, lakini ninaamini Kama angepata muda mrefu wa kuishi na kuandika kitabu Kama alivyofanya Mkapa, angekiri madhahifu yake katika hayo maeneo ya demokrasia, haki za binadamu na mapungufu katika kukabiliana na UVIKO 19
nakazia.
aina maana pia kumlinganisha magu alokaa 6yrs na samia ambae hata mwaka bado
 
JPM hakufa kwa haki. Alikufa sababu ya kukataa kua corona inaexist ikampata kisha ikaamua. Aliletwa Nairobi hospotal lakino wapi.
Mwenyewe alisema kijana wake alipatwa na corona kumaanisha tayari virusi vya corona vilikua nyumbani kwake. Yeye mwenyewe Siku ya hukumu ndio atatwambia kwa nini alipuuza chanjo wakati wenzake museveni na Uhuru na kagame walichanjwa na wako hai as we speak.
Kama una amini hivyo basi ndiyo maana atumwamini mama sa100
 
Back
Top Bottom