Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Unajifany unaijua siasa ya Tz ..kumbe zuzu tuuMwisho 2030 aje na hakuchaguliwa?
Unajifany unaijua siasa ya Tz ..kumbe zuzu tuuMwisho 2030 aje na hakuchaguliwa?
Mombasa haina autonomous status kama ZanzibarKwani Mombasa ni Kenya jombaa?
View attachment 1970551
Bendera ya nchi ya Mombasa Republic.
View attachment 1970553
eti the Richest Mi^2 in "sub saharan africa" 😆😆Richest neighbourhood in dar, mswaki😂😂😂View attachment 1970018
Sasa sijajua Kati ya elimu ya Kenya na Tanzania elimu ipi inazalisha vilaza, mana juzi tu tumeshuhudia mtanzania akipewa tuzo ya NOBEL, tunapost kila siku humu Kimara kibaha high way inajengwa na kampuni zawa (estim), stendi za mabasi kwa mfano ile ya Dodoma na Tanga zote zilijengwa na kampuni zawa (Muhammed builders), uwanja wa ndege Mwanza na barabara tofauti tofauti zinajengwa na kampuni zawa.. kuanzia baba wa taifa na viongozi tofauti tofauti wa tz ni watu wenye heshima kubwa duniani.. kitu pekee you Kenyans mnatu'outstand internationally ni mbio za riadha tu na kurusha mikuki kule kwenye mashindano ya olimpic, Ila kuhusu elimu labda mnatuzidi kwenye kuzalisha wakandarasi wa hovyo kila mwezi magorofa yanaanguka huko kwenuBwahaha
Jamaa mwehu sana yani point yangu bado hujailewa, kwanza nyie bajeti yenu ya elimu kiduchi ndio manake mnazalisha vilaza tu..
Utakuta professor mzima eti anatema pumba..
Sisi kenya km hujanielewa tunawekeza sehemu yenye manufaa zaidi na wala hatuingii kichwa kichwa lazima tugawe share mahali..tupate ya mgao na ya kodi akili kubwa aisee
Kwa sisi ni underdog kwenye hili group hata tusipoingia mtoano poa.But we are determined to surprise them
Bado unatema pumba mzeeSasa sijajua Kati ya elimu ya Kenya na Tanzania elimu ipi inazalisha vilaza, mana juzi tu tumeshuhudia mtanzania akipewa tuzo ya NOBEL, tunapost kila siku humu Kimara kibaha high way inajengwa na kampuni zawa (estim), stendi za mabasi kwa mfano ile ya Dodoma na Tanga zote zilijengwa na kampuni zawa (Muhammed builders), uwanja wa ndege Mwanza na barabara tofauti tofauti zinajengwa na kampuni zawa.. kuanzia baba wa taifa na viongozi tofauti tofauti wa tz ni watu wenye heshima kubwa duniani.. kitu pekee you Kenyans mnatu'outstand internationally ni mbio za riadha tu na kurusha mikuki kule kwenye mashindano ya olimpic, Ila kuhusu elimu labda mnatuzidi kwenye kuzalisha wakandarasi wa hovyo kila mwezi magorofa yanaanguka huko kwenu


Yatuume wakati masoko yetu tumeyajenga wenyewe kw pesa zetuKumbe masoko yanakuumiza mtima
Kw kenya hvyo vitu kenya wananunua magavana nyie ndio mumeokolewa na huo mkopo"Nchi zingine zilipopokea huu mkopo, walitumia kununua chanjo na face mask,Ila Sisi tumeamua kujenga vituo vya afya,kununua CT scan,kujenga madarasa,mradi wa maji,Hospitali,kufufua utalii,MRI kika hospital,kununua madawati etc
-Rais Samia
(Majirani waliiba zote)
Pumbav sana!
Hvyo vitu mbona kwetu vipo kitambo nyie ndio munafanya sai, mnatia huruma aiseeMkopo kutoka IMF Summary
Tz inaenda kubadilika on social services
Water
New wells dams and water systems ..nmesahau specs..Magari ya kuchimbia visima na mabwawa
Eduaction
New 15000 Secondary Schools class rooms
New 3700 primary school classrooms
25 New VETA
17 if not mistaken lecture theatres
400k plus madawati
10,800 books for disabled
Afya 440 billion (Nahis percent kubwa )
100 plus Emergency Department buildings
72 New ICUs and equipment kwenye hospital mbali mbali
40 Oxygen plants kila hospital ya mkoa na some zonal na some za wilaya
4000 plus mitungi ya oxygen
2000 plus beds and lockers
CT scan 29 , MRI zonal hospitals , Digital Xray 85
One Stop Centre for Radiological solution kama ku share images
Chakula hakiletwi katika hazina ya taifa, yani mikopo yenu inapitia treasury aiseeSasa wewe jiulize Karne hii kuna nchi inapewa msaada wa chakula na nchi ambayo 93 percent ni desertalafu eti mna pesa


Hofu ni mama anatonasana na mafisadi ,kila mradi utafanyiwa michezo michafu kama ile barabara ambayo waziri mkuu kaikataa wamejenga bila ya taa kinyume na mkataba ,kisha kwa unafiki waziri wa ujenzi ndiyo anajidai kuja kuweka taa badala ya kujiudhuru au mama kumfukuza kazi ,HIVYO TATIZO LA MAMA KUBWA SANA NI HILO LA KUCHEKA NA WAHUNI SERIKALINIHii kasi tuliyochomoka nayo sio ya ukanda huu ni ya Europe, hii nchi alitakiwa mtu mmoja wa kutuamsha kutoka usingizini zen yeye akapumzike kwa amani, na ndivyo ilivyokuwa kwamba huyo mtu cku zote atafanywa kuwa benchmark na watakaofuata wote watapimwa kulingana na alichokifanya huyo mtu, asante sana Mungu baba, wewe ni mwema cku zote kwani sasa tumeiona iliyo kweli.
Hizi ni njia nne za mjini kuunga na ile 122Km Outer Ring Road inayoyengwa Dodoma.Hizi njia nne zikikamilika wazee wa mabasi watakua wanamwaga moto barabarani sipati picha aisee

"Nchi zingine zilipopokea huu mkopo, walitumia kununua chanjo na face mask,Ila Sisi tumeamua kujenga vituo vya afya,kununua CT scan,kujenga madarasa,mradi wa maji,Hospitali,kufufua utalii,MRI kika hospital,kununua madawati etc
-Rais Samia
(Majirani waliiba zote)
Pumbav sana!
Chakula hakiletwi katika hazina ya taifa, yani mikopo yenu inapitia treasury aisee![]()
Steel ndio engineer?Bado unatema pumba mzee
Kenyans wanafanya mengi sana kaa mkao uchambue mzee
Mwanza airport tayari steel mnatoa kenya mtaambia nini watu