ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Huyo karogwa mkuu🤣🤣🤣🤣🤣 huyo mama samia 2025 hagombei tena na mutaniambia humu ndaniHiyo katiba ya wapi inakwambia hivyo Samia mwisho 2030
Huyo karogwa mkuu🤣🤣🤣🤣🤣 huyo mama samia 2025 hagombei tena na mutaniambia humu ndaniHiyo katiba ya wapi inakwambia hivyo Samia mwisho 2030
Kwa sisi ni underdog kwenye hili group hata tusipoingia mtoano poa.But we are determined to surprise themMawazo kama yako ndo yanafanya tunafungwa kila siku kwanini usiwe na ndoto ya kushinda mechi zote? Una uhakika gani kama ukiendea droo Madagascar watakupa? Taifa stars wakacheze mpira na si kuanza kupanga matokeo!
Maneno ya maria sarungi 🤣🤣🤣 ndio nabii wakoZanzibar is autonomous. Itadeclare independence from danganyika Mama suluhu akimaliza 2035 mark my words.
Zanzibar itakua nchi by 2035 mama akitoka usirukaruke haibadilishi chochote. Magufuli alishakufa.Maneno ya maria sarungindio nabii wako
Mwisho 2030 aje na hakuchaguliwa?Hiyo katiba ya wapi inakwambia hivyo Samia mwisho 2030
Itakua kwa mawazo ya maria sarungi au🤣🤣 wamekufa kina firauni wewe vp kufa ni lazima kwa kila kiumbe sio hiari wala ombiZanzibar itakua nchi by 2035 mama akitoka usirukaruke haibadilishi chochote. Magufuli alishakufa.
Zanzibar ni Zanzibar View attachment 1970529
Kwani Mombasa ni Kenya jombaa?Zanzibar ni Zanzibar View attachment 1970529
Nlimpa moja challenge ya kutaja vyakula vyao vya asili ,wakitoa chapo,githeri,sukuma na mutura akaishia mitini🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Miogo ni very expensive bro hawawezi afford ndio maana wanashindia mboga za majani.![]()
Huyu muamba huaga sikuelewi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama zanzibar sio tanzania ni wapi kenya au🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unajua kinachowaumiza kwann zanzibar ina maendeleo makubwa kuliko hio mombasa 🤣🤣Kwani Mombasa ni Kenya jombaa?
View attachment 1970551
Bendera ya nchi ya Mombasa Republic.
View attachment 1970553
Muwaozoee wana stress za maisha yani wana maisha magumu kuliko congo 🤣🤣🤣Huyu muamba huaga sikuelewi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nchi imejaa laana kila Kona😃😃😃😃😃😃Muwaozoee wana stress za maisha yani wana maisha magumu kuliko congo 🤣🤣🤣
Mambo ya kukunya huko kunyaland ni changamoto sana. Kitu flying toilet
Kumbe masoko yanakuumiza mtimaDuh!!noma sana![]()
Masoko yao mengi pia ni donations