Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hebu ngona tuhakikishe 🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20211010-225334.png
 
Tumfunge congo hapo then tukafosi droo tu madagascar
Mawazo kama yako ndo yanafanya tunafungwa kila siku kwanini usiwe na ndoto ya kushinda mechi zote? Una uhakika gani kama ukienda na nia ya droo Madagascar watakupa? Taifa stars wakacheze mpira na waende na mentality ya ushindi na si kuanza kupanga matokeo kichwani! Tutafanywa kama Kenya!






 
Mama Samia suluhu ambaye ni Mzanzibar atakua rais wa Danganyika hadi 2035 sababu huu muhula wa (2020-2025) ulikua wa magufuli. So mama atasimama rasmi first term 2025-2030 alafu amalizie muhula wa pili 2030-2035. CCM watamsaidia kuiba kura kama kawaida
View attachment 1970532
Hiyo katiba ya wapi inakwambia hivyo Samia mwisho 2030
 
Zanzibar is autonomous. Itadeclare independence from danganyika Mama suluhu akimaliza 2035 mark my words.
When ????😃😃😃😃😃 ww ni nabii wa githeri au

Ngona nikupe ufahamu mmona hilo suala halipo na halitakuwepo mpaka dunia itasmama kwasababu moja au mbili kwanza intermarriage imeshiriki kwa asilimia 100 ndio maana husikii ukabila tanzania wala zanzibar cha pili amani ya zanzibar iko bara kama ulikua hulijui hilo na cha tatu 10yrs to come zanzibar itakua sio muungano tena bali ni mkoa wa tanzania kama mikoa yote

Haya maneno yatunze mm sio nabii ila time will tell
 
Back
Top Bottom