Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiyo bajeti yenu ya elimu mnatumia kufanya nini kisha.? Mana government schools in Tanzania ni nzuri kuliko za kenya, mtuambie bajeti inayotengwa kwaajili ya elimu mnaitumia kufanya nini au kama kawaida yenu wazee wa kubumba namba.?
Uambiwe wewe km nani, hatufanani mzee na wala huna faida yyte ile kujua...
We jua tu bajeti yetu ya elimu inanua fleet ya ndege kila mwaka, au hili lia unapinga
 
Zote hizo hata iyo ndege iliyoshikwagwa South, unajua zilishikwa Kwasababu gani.?
Deni? Ama rubani alikwangua rangi ndio ikashikwa na trafiki
Ndege sio za atcl bali ni za GOT, yani wenye madeni na tz wote wanazikulia timing..
Endelea kukopa nje sana tu, manake external debt yenu kuna siku niliiona mpka nikasikitika..yani nchi haijiwezi
 
Nyie hata mnajiweza.? Hivi uko kwenu kuna kampuni za ujenzi kweli.? Owky heb taja kampuni ya ujenzi ya kikenya inayojenga Mwanza international airport.?
Kamuulize waziri wenu atakueleza vizuri, mwanza airport tunawajengea sisi
 
Uambiwe wewe km nani, hatufanani mzee na wala huna faida yyte ile kujua...
We jua tu bajeti yetu ya elimu inanua fleet ya ndege kila mwaka, au hili lia unapinga
Huo ni uongo sasa, msitupigie kelele na proganda alaf ground hakuna kitu, bajeti kubwa ya elimu alafu shule zako zina hali mbaya kuliko mwenye bajeti ndogo si uwehu huo.? Hamjistukii.?
 
Huo ni uongo sasa, msitupigie kelele na proganda alaf ground hakuna kitu, bajeti kubwa ya elimu alafu shule zako zina hali mbaya kuliko mwenye bajeti ndogo si uwehu huo.? Hamjistukii.?
Usipindishe mada hapa
Najua unataka kunitoa kwnywe lkn nipo imara mzee baba...
Hapa mada ni kwamba bajeti yetu ya elimu tu inanunua fleet ya ndege kila mwaka bila ya kupumzika, acheni huo uwehu wenu wa kujiona mna uwezo kumbe hamna ili nikujilazimisha tu ili na nyie muonekane mnaweza....
 
Leta facts hapa acha kujitia uwehu kijana, kwanini mnapenda uongo uongo nyie watu.?
Kheee!!mbona unajitia kujua, kumbe na wewe huna habari..
Katafute video waziri wenu akiliongelea hilo swala..
Airport mwanza tunawajengea sisi bana, we ukitaka lia sasa
 
leo tuone nao maroboti watatoka vipi,maana Tff na TAIFA STARS ni kichomi,hata hawa wanawake wanajitahidi kwa uwezo wao binafsi bado hawana professional coach,laiti wakipata wanvekuwa ni bora zaidi ya hapo
 
Richest neighbourhood in dar, mswaki😂😂😂
IMG_20211010_105734_095.jpg
 
Bajeti yetu ya elimu inanunua ndege kadhaa kwenye fleet ya tz, tena za maana kila mwaka kisha
Sasa ukisha nunua ndege na budget ya elimu watoto wakae nyumbani sio ndio akili yako inavyokutuma hivyo? Mada hapa ni kununua ndege huku mambo mengine yakiendelea bila kuathiri budget zingine na hiyo inaonesha uwezo wa uchumi wa Tz. Bado tupotupo sana kwenye first financing option government funding, huko kwenye loans and grants tunachungulia kwa mbali ila PPP bado maana serikali yetu haijashindwa bado kutuletea maendeleo.
 
Usipindishe mada hapa
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png

Najua unataka kunitoa kwnywe lkn nipo imara mzee baba...
Hapa mada ni kwamba bajeti yetu ya elimu tu inanunua fleet ya ndege kila mwaka bila ya kupumzika, acheni huo uwehu wenu wa kujiona mna uwezo kumbe hamna ili nikujilazimisha tu ili na nyie muonekane mnaweza....
Hata bajeti yetu ya elimu inaweza kununua ndege mpya kila mwaka bila kupumzika, na tunaweza pia bila kutumia hiyo pesa ya bajeti ya elimu kununua ndege 16 ndani ya miaka 5 kama tulivyofanya, kuanzia 2017 mpaka leo tumeshanunua ndege 16 brand new, 11 zimeshatua, that means sisi tupo vizur, kwanini usikubaliane na ukweli.. heb niulize ni taifa gani hapa EA inaweza shindana na sisi.? With in just 5 years, tumenunua ndege 16 cash, na hakuna sector yoyote inayumba na tuna miradi mikubwa kibao tunaendesha ndani ya mda huo huo, kweli sisi sio EA superpower.?
 
Back
Top Bottom